Mtwara: Wanaume walalamika kurukishwa kichurachura ili wapewe tendo la ndoa



Ndio mmeamua kuja kushtaki na huku
Hicho ni kichurachura, bado tunataka na pushup za keleweka
 
Wanaelezea ujinga wao.Stupids!
 
Hawana pesa
 
Kuna siku niliingia kwenye 18 za boya mmoja nikajikuta napiga magoti ili nipewe mbususu.
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
hii safi sana, maana damu itakuwa imechangamka na mikasi itapigwa vizuri.

tuendelee na mambo yetu ya DP World.
 
Wanaume wa Pwani wanapenda sana kwichy kwichy afu wavivu akili wamewekeza kwenye mizagamuo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bora unyimwe unyumba kwa kutokuoga, kuna wanawake bila kuoga hupewi unyumba, mwanamke anataka uoge na ufue boksa ukabadilishe ndio upewe
 
Kusema kweli unyumba ni mtamu, ikifika saa ya kuutaka chochote atakachotaka mwanamke utafanya tu bila kujitambua ili tu upewe utamu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…