Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

"Hizbollah imefanya mashambulizi kadhaa ya maroketi SIKU MOJA BAADA YA SHAMBULIZI LA ISRAEL".
Inamaana siku moja baada ya Israel kushambulia Lebanon na kuua watu wapatao 500 nayo Hizbollah ikafanya mashambulizi.
Na hayo mashambulizi yalifanyika usiku wa manane kuamkia leo.
Inamaana ni siku imeshapita.
Embu tafsiri vizuri kaka.
Nimetafuta wapi " Airbase" au ndege za Israel zimeshambuliwa na kuchakazwa, sijaona.
 
Nimetafuta wapi " Airbase" au ndege za Israel zimeshambuliwa na kuchakazwa, sijaona.
Kuna mashambulizi mawili.
Mashambulizi ya jumapili ndio yalilipua run way za ndege za kivita za Israel.
Mashambulizi ya sasa bado hayajafahamika madhara yake ila usiku kucha walishambulia kuamkia leo.
Hiyo picha ya jumapili palivyoshambuliwa kabla Al-Jazeera hawajafungiwa.
Shambulio la awamu hii bado halijatolewa ushahidi kamili wa maafa na paliposhambuliwa.
Tusubiri taarifa zaidi
Screenshot_2024-09-23-12-23-36-80_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
China amewataka raia wake waondoke haraka Israeli,Kwa Nini hakuwataka waondoke Lebanon?,kipi anachikijua kitakachofatia Israeli?

Ile vita Kule mda flani ni Kama maigizo hivi, Hezbollah wananikosha,ndege zikondoka kwenda kushambulia,zikirudi zinakuta ule uwanja ushabomolewa wanaenda kutua syprus Kwa dharula🤣🤣🤣
Hapa hizbullah walicheza kama pelle
 
China amewataka raia wake waondoke haraka Israeli,Kwa Nini hakuwataka waondoke Lebanon?,kipi anachikijua kitakachofatia Israeli?

Ile vita Kule mda flani ni Kama maigizo hivi, Hezbollah wananikosha,ndege zikondoka kwenda kushambulia,zikirudi zinakuta ule uwanja ushabomolewa wanaenda kutua syprus Kwa dharula🤣🤣🤣
Mkuu nadhani humu unaongea chochote bila kujua .
Uwanja uliopigwa ni 1 tu Tena ni sehemu ya uwanja sio wote.

Screenshot_20240924-122750.png
Gallery_1727170147300.jpg

Hizo juu ni picha za viwanja vya ndege vya jeshi la anga la Israel. Sio kimoja sasa sijajua hizo ndege unazosema wewe kwenda kutua kisiwani wapi?
 
Lebanon wanaruhusu vyombo vya habari kuchukua matukio bila kipingamizi lakini Israel anaficha maafa kwa aibu ndiyo maana unasikia anaifungia Al Jazeera kurusha matangazo.
Kama Israel inazuia media kuripoti matukio kwahyo raia wote waliopo kwenye hilo tukio hawana simu au camera za kurekodi? Hiyo Al Jazeera ipo against Israel sikuzote hakuna kipya
 
Mkuu nadhani humu unaongea chochote bila kujua .
Uwanja uliopigwa ni 1 tu Tena ni sehemu ya uwanja sio wote.

View attachment 3105266View attachment 3105267
Hizo juu ni picha za viwanja vya ndege vya jeshi la anga la Israel. Sio kimoja sasa sijajua hizo ndege unazosema wewe kwenda kutua kisiwani wapi?
Na mimi nakataa haujapigwa uwanja mmoja vimepigwa viwanja kadha wa kadha taarifa tunazo
 
Mm sijawai sikia kuona kwa macho kupitia media, Lebanon wanazuiya kuonekana majanga yao lkn ni Israel ndio wanazuiya bila aibu mchaana kweupe lkn awa mashabiki wa uko mwavunga na kwamapalamba bila aibu wakijivua nguo mchana kuwadai wenzao ushaidi wkt wanajua wajomba zao kule wanaficha aibu zao. Wanataka watu waandelea kuamini wao ni majitu ayapigiki wala awafi kwa boom kama wengine!! piga boom yy anatoka uku anavuta sigara anafuta vumbi anaondoka😆😆😆
 
Kama Israel inazuia media kuripoti matukio kwahyo raia wote waliopo kwenye hilo tukio hawana simu au camera za kurekodi? Hiyo Al Jazeera ipo against Israel sikuzote hakuna kipya
Kwahiyo raia wa Israel anayezuiwa na serikali yake kusambaza madhara ya makombora kwa vitisho unadhani atafanya hivyo?

Ukiona Mazayuni yanakiri madhara fulani basi zidisha mara kumi ndiyo madhara halisi kwasababu ni kawaida kwa mataifa ya mashog,a kuendekeza propaganda kuliko uhalisia.
 
Ishindwe kwajina la yesu,,kila inchi ikomae kimpango wake tuliingizwa vitani cuz tulikuwa koloni lao wakivianzisha watadundana wenye kwa wenyewe si tunawacheki tu huku tunakula magimbi Kama ya kwenye daku kipindi Cha ramadhani
 
Kama Israel inazuia media kuripoti matukio kwahyo raia wote waliopo kwenye hilo tukio hawana simu au camera za kurekodi? Hiyo Al Jazeera ipo against Israel sikuzote hakuna kipya
Wakati Iran alipoichakaza vibaya kambi ya Marekani pale Iraq mwanzoni Marekani olosema hakuna madhara kwa askari wake lakini baadae wakaanza kukiri kidogo kidogo kwamba baadhi ya wanajeshi wake wamepatwa na athari hadi walipokuja kukiri madhara halisi.

Iran aliivurumishia mvua ya drones na missiles Israel na kuleta madhara ya moja kwa moja kwa kambi za jeshi za Israel lakini Mazayuni mwanzoni walikana madhara ila baadae wakakiri namna vyuma vya Muajemi vilivyoleta athari.
 
Kazi kipimo cha utu kana yupo ambaye mpakasasa ajui kuwa media zinabanwa uko upande wa pili au anaamuatua kujivua nguo kutaka ushaidi apo ndio utajua watu wanaojadiliana umu ni types zipi. Anadai kitu uku anajua uyu mwenzie awezi kuwanacho mana kimepigwa narufuku na sheria zao za vita.
 
Wakati Iran alipoichakaza vibaya kambi ya Marekani pale Iraq mwanzoni Marekani olosema hakuna madhara kwa askari wake lakini baadae wakaanza kukiri kidogo kidogo kwamba baadhi ya wanajeshi wake wamepatwa na athari hadi walipokuja kukiri madhara halisi.

Iran aliivurumishia mvua ya drones na missiles Israel na kuleta madhara ya moja kwa moja kwa kambi za jeshi za Israel lakini Mazayuni mwanzoni walikana madhara ila baadae wakakiri namna vyuma vya Muajemi vilivyoleta athari.
Kambi ipi ya Israel ilishambuliwa? Weka ushahidi
 
Back
Top Bottom