Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Tukitaka kupata vichekesho vingine kama hivi tubonyeze no ngapi?
Boss jana tuu tumepigwa billioni 400 nyingine kwenye mkataba na IPTL wa miaka 30 iliyopita, na waliotuingiza ule mkataba ni hao hao CCM na serikali yake, na juzi tuu tuliona yule Professor kiazi alivyoburuzwa na kutiwa aibu hadharani akitetea mkataba wenu, trillions zinalipwa kila siku kwenye hizi arbitration kila siku kwanini sasa tuamini huu utakuwa hauna matatizo wakati wanaotuingiza ni hao hao, kama IPTL imekula zaidi ya trillion huu wa bandari, maziwa, anga etc utakuwa ni kuuza nchi kwa bei ya bure, tumieni akili nyie mnauza future ya watoto wenu na watageuzwa watumwa wa waarabu, mnasikitisha sana
 
Vyanzo vyako feki vyote. Muda huu wanasheria wapo ughaibuni wakiandaa mikataba ya consession na lease na wakirudi wanamaliza biashara ya DP World.

Lengo la uwekezaji ni kurahisisha maisha ya wafanya biashara, kama wewe Lusungo nimfanyabiashara wa bandari huwezi kuwa na mawazo ya aina hii.
 
kuchangi aupuuzi huu ni aibu, nawaachia mazuzu wenzako
 
Akiwatosa ajue atalipa mabilioni ya dola na warudisge chao 1T wamesunda.....muda mwalimu mzuri

Yes! Betina atapike pesa zilizokuwa zinampa kiburi na kuleta madharau.
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Wanaenda kwa mkataba wa milele! ! Watu hawajakataa uwezekezaji ni mzuri na kwa wazi baina ya pande mbili, basi.
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯
Cha mwenzio mavi kiteme mate
 
Je waliosapoti wataficha wap sura zao..?..
 
Nfoto
 
Mimi binafsi sipendi upuuzi wa pale Bandarini na natamani ibinafsishwe .

Kuliko kuachana na DP World Bora vifungu vinavyozozaniwa virekeboshwe.

Majibu yote ni Bunge litakapoanza tutaona kama mswaada unaopendeleza kubadili sheria Ili ziendane na matakwa ya kiuwekezaji utasomwa au laa wiki ijayo.

Mwisho itakuwa ni kosa la kiufundi, afadhari uamzi kama huo ungefanyika mapema kabisa na sio too late kama hivi.
 
Huyu hawezi hana maamuzi yake binafsi (kama nyerere alivyokuwa). Usidanganyike, kama amekula hela za watu atazitoa wapi? nasikia tetesi kuwa amepewa nyumba huko sasa itakuwaje...KAMA MBAYA MBAYA LIWALO NA LIWE
 
We mbona hujahamia Dubai umejibanza hapo Mbweni?
Hivi joto la Dubai unalijua wewe hapakaliki ndio sababu wanakombilia Zanzibar na Dar es Salaam ulaya hawatakiwi tena walikuwa na vurugu nyingi na pesa zao za ulimbukeni wa utajiri wa haraka wakawa wanasumbua matajiri huku na kununua vitu bila Mpango na bila kuzingatia bei Wazungu wakasema ngoja tutunge sheria zetu za kuwakomesha hakuna nikabu na misikiti inayopiga kelele alfajiri na kadhalika wakaona bora warudi Zenjbar na Mzizima kule wanaweza kufanya wanachotaka bila bughudha
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯
Wewe jamaa hata siyo shabiki wa mpira. Salah bado yuko Liverpool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…