Makadirio yanakuwa based kwenye percentage, unaweza kuniambia hiyo siku TMA iliweka asilimia ngapi ya uwezekano wa mvua kunyesha?Ni TMA hiyohiyo iliyotuambia mvua chache zingeanza takribani wiki chache zilizopita.........je zimenyesha?!!!
Unazunguka sana kwani hayuko binadamu mfanya MIUJIZA....bali binadamu humwomba Mungu Mwenyezi kuifanya hiyo miujiza........
Mungu Mwenyezi huombwa hata kupitia dini za jadi na matambiko na akitaka hutekeleza hayo maombi.......
Ungekuwa umeshawahi kuhudhuria katika maombi ya namna hiyo ungetupa ushuhuda kuwa WAOMBAJI huwa wanajinyenyekeza kimaombi kuwa ikinyesha iwe ya heri, baraka na isiyoleta "nakama".....IKINYESHA YA MADHARA HATA HATUOMBI IPUNGUE. IKICHELEWA NDO TUNAOMBA Mmmmh.MUNGU TUHURUMIE
Aisee umenikumbusha kuna kipindi nilienda Kigoma nikakodi chumba kwenye Guest House moja karibu na Ziwa kabisa lakini maji yalikuwa ya shida😆😆😆Watu Wapo Mikoa inayopatikana na Maziwa, lkn Bado suala la Maji limekua Shida
Hao watu wa jngwani hawana sana na shida ya mvua kama sisi, kwani wao wana uwezo wa kununua chakula sehemu yoyote duniani, wana matunda ya aina zote kwa mwaka mzima wana maji ya kutosha na teknolojia ya kuyasafisha maji ya bahari kuweza kutumiwa kwa mahitaji ya wanadamu na wanyama na mimea. Na hiyo ni kutokana na dua ya nabii Ibrahim aliyomuomba Allah katika Quran 14:37Ingekuwa dua inafanya kazi hivyo, mbona uarabuni kusingekuwa na jangwa
Tumechoka na vimbwanga saizi tunataka wakiomba hiyo dua watutajie na tarehe na mwezi kabisa ambao Mungu wao kawaahidi mvua ataishusha ili ikitokea haijanyesha tujue ni uwongo
Hizi habari za kusema tunafanya dua mvua inyeshe na unaelewa kabisa kua tuko ukingoni mwa kiangazi tumekikaribia kifuku na ni wazi kabisa kua kifuku ni season ya mvua, kutuambia mvua imenyesha kwasababu ya dua yako huko ni kututapeli kizungu
“Jisaidie nami niwasaidie “haitakiwa kujisaidia vitu Nusu nusuUnatumia nguvu kubwa sana kwa Jambo lililo dhahiri kabisa....kwani naye hakusema "jisaidieni nami niwasaidie"?!!
Chanjo hazijaanza jana kwa maneno yako pia ni kumkosea Mungu Muumba kuwachanja watoto wetu kule RCH.....
Mbele ya Chifu Mkuu Hangaya ,maombi na dua za mchungaji Anthony Lusekelo ,Mufti Sheikh Zuberi na maaskofu wa TEC zimejibu.....mvua imeanza huko Mwanza......🙏🙏“Jisaidie nami niwasaidie “haitakiwa kujisaidia vitu Nusu nusu
Yaani sawasawa na mtu aliyeenda kwa mganga wa kienyeji kutafuta msaada kapewa hirizi wakata huo huo kasimama kwenye madhabau ya Bwana anaomba msaada na hirizi ikiwa mwilini mwako.
Mungu ajibu Maombi kama hayo. Chagua kimoja kuwa Moto au baridi na siyo kuwa vuguvugu
Pinga pinga FC kazini 🤣🤣Anatafuta kiki hakuna chamaana hapo
Kwa kawaida huwa wanasubiri hadi ianze kidogo kisha ndio wanafanya maombiMvua tayari imeanza kunyesha, maombi ya nini tena?
Hivi nchi hii haijawahi kutokea mvua kutonyesha kwa kipindi kirefu mno kufikia VIONGOZI wa dini na jadi kufanya maombi ili ije mvua?!!!Kwa kawaida huwa wanasubiri hadi ianze kidogo kisha ndio wanafanya maombi
Kwanza mnafanyaje maombi wakati huu ni msimu wa mvua na mnajua fika kuwa itanyesha tu hata kama imechelewa kuanza??
Madokta wenzako pale Bugando mbele ya Chifu Mkuu Hangaya wameshuhudia mvua kunyesha baada ya maombi ya Maaskofu wa TEC ,huyo Mufti Zuberi na baba Mchungaji mtumishi Anthony Lusekelo.....🤣🤣Kama unandugu yupo Kanda ya ziwa ..
Muulize , utashangaaa
Haka Kamama yan
Karibu sanaIkinyesha siku tatu mbele kuanzia saiz nahamia uislamu rasmi
View attachment 2015261
Swali lako la 1 jibu langu ni hapana haijawahi kutokea.Hivi nchi hii haijawahi kutokea mvua kutonyesha kwa kipindi kirefu mno kufikia VIONGOZI wa dini na jadi kufanya maombi ili ije mvua?!!!
Nikiwahi kuhadithiwa pale jangwani baada ya maombi tu mvua zilimwagika.......
All and all tunapaswa kumuomba Mungu Mwenyezi kipindi chote Cha raha na shida.....na anayefanya miujiza ni Mungu tu kazi yetu kuomba muda wote......
Kutoona ,kutokusikia haina maana ya kwamba tukio HALIKUTOKEA...ndipo hapo mtu makini anatakiwa aulize kwa WENGINE ili ajiridhishe na si kung'ang'ana tu na kile akijuacho.......Swali lako la 1 jibu langu ni hapana haijawahi kutokea.
Swali la 2 kuhusiana na jangwani mi sijawahi kusikia wala kushuhudia labda ilikuwa 19kweusi kabla sijazaliwa hivyo hiyo taarifa siitambui.
Hapo mwisho nna swali mkuu, unaposema tunapaswa una maana gani?? Hiyo tunapaswa ni kwa mujibu wa nani?? Au wewe??
HaaaaMbele ya Chifu Mkuu Hangaya ,maombi na dua za mchungaji Anthony Lusekelo ,Mufti Sheikh Zuberi na maaskofu wa TEC zimejibu.....mvua imeanza huko Mwanza......🙏🙏
Yetzer ha-tov
Shavua Tov