Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Mumeo yupo sawa kabisa! katika malezi mtoto wa kiume hatskiwi kudekezwa dekezwa anatakiwa awe imara na ajitambue mapema. Akina mama mna desturi ya kuwahurumia watoto wenu na kuwaona watoto kila siku , matokeo yake watoto wanakuwa legelege na wasiojitabua
Mtoto wa miaka 5 siku hizi anajua mengi kuliko unavyodhani .
Ni mtoto wa kike
 
Haujanielewa, pale mama mkwe aliagiza mtoto waonoke naye, badala ya wewe kumbishia mbele ya mume wako, ungemuomba muondoke wote kuna kitu unataka kuongeza pia kutoka dukani, kwa kifupi hapo kwenu ni dhahiri kuna kaushindai kameanza baina yako na mama mkwe na ni wazi mume wako hakutumia busara kwenye hili, ila na wewe pia ungefanya kitu kinachoitwa descalation, yaani unapangua tension na mambo yanaenda tunaganga yajayo.
Sawa next time I'll do better
 
Kitu moja unachotakiwa kukikumbuka, Wewe na jamaa mmekutana tu Ukubwani ili muanze maisha Kupendana au Lah hii sio issue maana Upendo hufa wakati wowote.

Hautakuja kuwa na hadhi sawa na mama yake, Huwezi break hiyo Bond. Na ukiendelea kujaribu kukaa juu atafanya jambo la ajabu kuliko hilo.
Jua nafasi yako, kuna baadhi ya watu Mama zao huwezi kuwareplace, Ukimpayukia au kumbishia bila staha mama yake ( inaonesha ndio ulichofanya) hilo ni tusi ambalo linahitaji Jibu. Tushukuru jibu limekuwa kumtuma mtoto huku akimwangalia .
Usiporekebisha mtazamo wako juu ya Mama mkwe, ndoa yako itajifia kifo cha kawaida tu.

Kama ambavyo unampenda na kumjali mwanao, hutaki atumwe dukani usiku.
Ndio huyo mama na mwanae wako hivyo, ni wao dhidi ya Dunia nzima.
Ni kweli mimi siwezi kua zaidi ya mama yake...wakat nasema nitaenda mimi haikua katika mabishano tulielewana tu kawaida.
 
Na tatizo limeanzia hapa.

Mleta mada unaonekana hu-appreciate mama wa mumeo kuwa mama yake (kama umenielewa vizuri yaani baada ya wewe kuolewa nae unataka kukaa nafasi zote mke/mama yake).huyo ni mama mkwe wako ulivyokataa asiongozane na mjukuu wake dukani ulijuaje kama baada ya kitu kununuliwa asingeenda na safari zake angesubiri hadi amuone amekaribia nyumbani ndiyo aondoke?

Hapa hutasema,lakini zipo dalili ameziona mumeo za wewe kutokumuheshimu mama yake au hupendi uwepo wake hapo kwenu na amefanya hivyo kutokana na panic labda nilichokiandika hapo juu mama mkwe wako alikuwa ameshamwambia mumeo wewe ukam-crush as if ni mtoto mwenzako,mambo ya familia yanataka sana hekima hapo mumeo amekupa kitu kama adhabu (well,amekosea) lakini ndiyo imeshatokea wewe next time kuwa na subira.
Hahahaa kina mama mkwe wengine vichefu chefu
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Hapa napata maswali kadhaa.
1. Mama mkwe wako anatoka nyumbani na kupita mahali 3 usiku? anaenda wapi saa 3 usiku?
2. Mpaka saa 3 usiku wewe mama mwenyenyumba hujajua mapungufu ya jikoni?
3. Mama mkwe anaratibu vipi mambo ya jikoni wakati wewe upo?
Ushauri wangu:
1. Simama kwenye nafasi yako kwenye masuala ya jikoni, chakula kiliwe kwa wakati.
2. Shiriki kazi za jikoni, Inaelekea dada wa kazi unampa kazi mpaka mama mkwe wako anaingilia kumsaidia.
3. Jitahidi umpende mama mkwe wako, muamini na mheshimu.
 
Hapa napata maswali kadhaa.
1. Mama mkwe wako anatoka nyumbani na kupita mahali 3 usiku? anaenda wapi saa 3 usiku?
2. Mpaka saa 3 usiku wewe mama mwenyenyumba hujajua mapungufu ya jikoni?
3. Mama mkwe anaratibu vipi mambo ya jikoni wakati wewe upo?
Ushauri wangu:
1. Simama kwenye nafasi yako kwenye masuala ya jikoni, chakula kiliwe kwa wakati.
2. Shiriki kazi za jikoni, Inaelekea dada wa kazi unampa kazi mpaka mama mkwe wako anaingilia kumsaidia.
3. Jitahidi umpende mama mkwe wako, muamini na mheshimu.
Tulishakula chakula cha usiku toka saa mbili...kuna mboga ililetwa muda huo na kutokana na sababu flan ikabidi tuichemshe kabisa . Kama unavyojua viungo vya kuchemshia mboga vinakua vingi kwa baht mbaya ajina moto haikuwepo .
 
Usimuite mama wa mtu hivi please mkuu.

Tuna namna nyingi na nzuri za kukosoa watu hata kama hatuwajui,kila mtu anampenda mzazi wake tujaribu kuheshimu hisia zao.hili nimezidi kulijua na kuliamini juzi mwezi august jamaa yangu aged 52 alifiwa na mama yake akalia kama mtoto mdogo,miaka 52 tayari ameigawa karne lakini bado ana mapenzi makubwa kwa mama yake.

My point is,jamaa akiona ulichoandika hapa na jinsi anavyomthamini mama yake asingekuelewa hata kidogo.
Ndio tatizo letu waafrika kupindishapindisha mambo.
Tunahitaji kuambizana ukweli. Upumbavu sio tusi ndugu.

Mtoto wangu nilimfundisha kuniambia ukweli when am wrong. Nikamuambia hakuna kitu kinaitwa mkubwa hakosei. Only in African minds.
 
Nimesoma comments zote, ama kweli mke wa kiafrika ataendelea kukandamizwa maisha yake yote. Hata kwa hili mnamkandamiza huyu dada kweli? Mnajaribu kuyapaka rangi nzuri makosa ya kila mtu isipokuwa ya huyu mwanamke mnayakuza.

Inaonekana ili amani ipatikane ndoani ni wajibu wa mke kuileta wakati huo wengine wote kazi yao iwe kuketa migogoro.

Msichana tafakari kwa usahihi na ikibidi kataa ndoa, ndoa ni ukandamizaji , ndoa ni manyanyaso, kama waoaji ndio hawa waliocomment humu.
 
Naishi nae vizuri...hio point ya kusema amenipa kama adhabu na mimi nahisi hivyo...naona kama amejaribu kunionesha nmemkosoa mama mkwe na ma mkwe yupo sahihi
Mimi sidhan kama kuangalia zaidi usalama wa mtoto ni kumkosea heshima na nilisema kwa ustaarab

Huwezi kusema kwa ustaarabu unapomkosoa Mama mkwe tena ukiwa umeolewa..

Kama ni mtoto wake kweli sioni sababu ya wewe kukasirika. Lakini kama sio mtoto wake, yaani ni mtoto wako na mwanaume mwingine unahaki na hiyo ndio tafsiri ya ulicho
Mtoto wake na ndio maana nmekuja hapa kupata mawazo zaidi .

Kama ni mtoto wake kinachokuuma ni nini kama sio tabia mbaya
 
Tulishakula chakula cha usiku toka saa mbili...kuna mboga ililetwa muda huo na kutokana na sababu flan ikabidi tuichemshe kabisa . Kama unavyojua viungo vya kuchemshia mboga vinakua vingi kwa baht mbaya ajina moto haikuwepo .
Na unatumia haji na moto.... Baada ya miaka miwili mzee akishindwa kukupiga show unatafuta dogodogo... Hatari hii...
 
Back
Top Bottom