Wewe unataka inayofanana na ya beberu?? unadhani watakubali uwe level moja na wao? ukitaka iwe hivyo hawakupi mkopo, Barabara ya rami, mwendo kasi hazitofanana na za kwao hata siku moja.Na barabara za mtumba zingekuwepo nazo zingeletwa hivyohivyo.Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
umeMbiawa cha mkandalisi kiazi wewe ebu soma vzr postIla sisiyemu daah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]walituonesha vichwa vya treni za japan. Yamekuja makande ya mawe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi umesoma ukaelewa?Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Mbona wameiwekea rangi ya Simba? Au kwa sababu inawakilisha kimataifa!!Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR jipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Wewe unataka inayofanana na ya beberu?? unadhani watakubali uwe level moja na wao? ukitaka iwe hivyo hawakupi mkopo, Barabara ya rami, mwendo kasi hazitofanana na za kwao hata siku moja.Na barabara za mtumba zingekuwepo nazo zingeletwa hivyohivyo.
Aisee ! Ngoja tusubiri maelezo ya kina. Kama kweli basi hii ni hujuma, kuchukua kitu hakina spare!Mbona hivi ni used? Vilitengenezwa miaka ya 1994 ni vikaja kuuzwa kama used kwa Euro 15,000. Nyie TRC mmevinunua kwa bei gani?
Maana hata sasa havitengenezwi tena na spare zake hamna!
Tunategemea mtuletee Train bora na za kisasa ili kukuza Utalii, msije kumwangusha Mama, hii dhambi haita waacha salama.
View attachment 2126787
View attachment 2126783
View attachment 2126786
ndio mkuu..Kumradhi chief, niliangalia kwa haraka sana.
Kumbe Ni watermark ya trc iyo kwny picha[emoji106][emoji4]
Hivi ni mimi ndie sielewi, au?
Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...
Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?
Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!
Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!
Tunakwama wapi?!
Mkuu hicho sio mali yetu ni mali ya mkandarasi ameleta kufanya majaribio kwenye reli aliyoijengaKwahiyo tumeamua kununua na kichwa used kabisa..daah hii nchi hii.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hicho ni cha mkandarasi kwaajili ya majaribio, chetu wenyewe badoivi hamuoni aibuuu vichwa vya ivi !!dunia nzima havipo!! sasa tunaenda mbele au nyuma!! yaan vichwa kama vya treni ya mkoloni[emoji3]
Mbona hivi ni used? Vilitengenezwa miaka ya 1994 ni vikaja kuuzwa kama used kwa Euro 15,000. Nyie TRC mmevinunua kwa bei gani?
Maana hata sasa havitengenezwi tena na spare zake hamna!
Tunategemea mtuletee Train bora na za kisasa ili kukuza Utalii, msije kumwangusha Mama, hii dhambi haita waacha salama.
View attachment 2126787
View attachment 2126783
View attachment 2126786
Hivi ni mimi ndie sielewi, au?
Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...
Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?
Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!
Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!
Tunakwama wapi?!