Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Sio hivyo ngoja nikuambie kitu ambacho nawafundisha kila Siku ila hamuelewi magufuli ni mwepesi Sana kupigwa chini kwa sababu Ya visas na kutaka kila anaemkosoa amdhalilishe.

Kumbuka makongoro aliposema Siku ile ile issue ya Simba kutaka kushuka daraja akasaidiwa na yanga asishuke ilimuuuuma saaaana magufuli maaana makongoro alimaaanisha kuwa hawataki kuona chadema inakufa, anahitaji chadema iwepo ili kuleta ushindani, ndicho alichomaanisha madaraka Kwa maaana nyingne akipinga ile hali Ya magufuli kutaka kuuwa upinzani.

Sasa baada Ya makongoro kumaliza kuongea baadae alikuja Magufuli kuongea akaiponda familia Ya Mwalimu kuwa waliogombea wakaambulia kura Tatu akazitaja, tena akawa anazitaja anacheka na akawa anazitaja Kwa kebehi ili kuwadhalilisha, hilo liliwauudhi Sana familia na wanajipanga kumwaaangusha.

Magufuli ni wa visas na vitina hataki hata kidogo wewe umpinge Au uupende upinzani, ndio maaana timunasema hafai na nirais kumtoa Kwa sababu hatumiii akiri kwenye siasa anatumia nguvu, angalia sasa kapoteza Kwa ile familia na ina watu wengi Sana mno siasa ni akiri yeye anatumia ukatari ili asishauliwe anapenda chuki.
Jambo jema ni kuwa familia ya mwalimu haigusiki na yoyote.

Magu kapoteza mapema mno
 
Sasa comrade tundu Lissu kulala chumbani kwa Madaraka Nyerere inamsaidia nini babu na bibi yako walioko kijijini ?
Nyie kumlazimisha mama Nyerere na kumsumbua kuja kuongeza vichwa iliwasaidia nini?

Sasa wewe subiri uone kitendo tu cha kulaala kule kitatangazika baraaa, na kitaongeza kura nyingi mno Na Mkoa wa Mara unaenda kuwa kitovu cha ukombozi wa taifa kwa taaarifa yako, na kumbuka Mkoa wa Mara ni wabishi wakiamua kulianzisha hata utumie Jeshi hutaweza
 
Duh Magu kampeni zake hazina hata mpangilio kabisa kazi kuzungukwa na watu wenye mabunduki kutisha wapiga kura

Mwangalie Lissu anavyotabasamu muda wote anapokuwa na raia.


Lissu anafanya kampeni zake kisasa kila kitu anachofanya sasahvi kinakuwa trending news almost Africa yote.

Na ndiye mgombea anayefatiliwa zaidi Duniani kwa Sasa ukiondoa Trump na Joe Bidden kwenye uchaguzi wa Marekani.
Magu alijuwa wasanii wa bongo fleva ni zaidi ya people's power!
Hajuwi ata mziki wa hao bongofleva tunaweza ukataa tukabaki na reggae music
 
Mama Maria Nyerere kajibu kwa vitendo baada ya kushurutishwa aende mkutano wa CCM kuongeza vichwa kisha kulazimishwa kuongea
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu mama alinchekesha sana. Eti kuongeza vichwa. Unajua haya ni maneno ya kihuni huni yaani kisela. Sema yeye alivoitwa akaongeze vichwa ndivo kaambiwa hivo hivo na yeye kariport hivo hivo bila kumumunya Maneno
 
Nakumbuka wakati muhula wa kwanza wa serikali ya awamu ya pili ya JK, KUB alikua Hamad Rashid Mohamed wa CUF. Siku ya Alhamisi ambayo ni siku ya maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, KUB alikua akipata kifungua kinywa nyumbani kwa PM na wakiondoka wote kwenda Bungeni

Utamaduni huu umekomeshwa kikatili sana. Sasa hivi sio tu dhambi kumtembelea mtu mnae tofautiana itikadi za chama bali pia ni dhambi kumjulia hali mgonjwa hospitakini kama si wa chama chako!!! Na tunapoelekea hata kuzikana watu wa vyama tofauti itakua ni kosa la kimaadili la kuadhibiwa na chama. Nani katufikisha huku? Tusikubali
Mkuu wewe ni mtu mzima na mkongwe humu. Kumuuliza Sisi vijana nani katufikisha huku ni kutukosea adabu (samahani kama nitakukwaza) maana najua fika unawajua waliotufikisha hapa.
 
Nyie kumlazimisha mama Nyerere na kumsumbua kuja kuongeza vichwa iliwasaidia nini? Sasa wewe subiri uone kitendo tu cha kulaala kule kitatangazika baraaa, na kitaongeza kura nyingi mno Na Mkoa wa Mara unaenda kuwa kitovu cha ukombozi wa taifa kwa taaarifa yako, na kumbuka Mkoa wa Mara ni wabishi wakiamua kulianzisha hata utumie Jeshi hutaweza

Kwani kura zinapigwa mkoa wa mara tu?? Acheni kuweweseka na usiwatie ujinga watu wa mara kwamba mtaleta fujo tutawapiga virungu kisawasawa. Lissu hatoshinda comrade hilo lipo wazi.
 
Baada ya kumrushia matusi baba wa taifa saaahv kaenda kulala uko, watu bana
 
Kwani Magu alivyotuambia Bashiru alikua anauza ndizi sokoni imemsaidia nini bibi yako kule bush?
Ni kweli Magu alisema kuwa Bashiru alikua anauza ndizi sokoni aya niambie wapi tulitaka kufanya kuuza ndizi kwa Bashiru kuwa jambo la kitaifa na kuwatangazia walimwengu? Nyie kulala tu chumbani kwa Madaraka mmeona ni bonge la jambo mnadhani kura tutapigia chumbani kwa Nyerere?
 
Back
Top Bottom