Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Hivi hilo neno sumptuous magufuli anaelewa maana yake?
Nafikiri mwandishi hakuwa ana address umma wa watanzania..hiyo ni weekly report anaituma Kwa hadhara yake.
Hivi hawezi kupiga kampeni bila mabunduki?
Yaani natamani kuona security details ambazo Lissu atawekewa ikitokea akashinda uchaguzi mkuu ujao
 
Mkuu hii familia ni muhimu sana lakini CCM ina ichukulia kama familia ya mjumbe wa nyumba kumi!
Pengine ni kwa sababu jamaa ni watu waliopo kwenye kundi la watu wenye maono!

Nikusaidie na hii iwe kwa Faida yenu wote hapa ni kwamba hakuna Rais wa Tanzania hii ( ukiachana na Hayati Mwalimu Nyerere Baba yao Mzazi ) ambaye alipokuwa 'Madarakani' hakuilinda hii 'Familia' na hata 'Kuwajali' kwa kuwapa Nafasi ( Vyeo ) ama ndani ya Chama au katika Taasisi zingine ili waishi vyema. Tatizo la hawa Watoto wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere 'hawabebeki' kwa 'mbeleko' za kila aina.

Na si tu Serikali ya Tanzania iliyo chini ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) ambayo imekuwa 'ikiwajali' kwa kila namna hawa Watoto wa Hayati Mwalimu ukiachia mbali 'Kumjali' sana tu 'Kikatiba' Mama yao Mzazi kama Mjane wa Rais Mstaafu Nyerere. Hata Serikali za Uganda kupitia Rais Museveni na Rwanda kupitia Rais Kagame 'zinawajali' mno ila tatizo lao Kubwa 'wamebweteka' na wanapenda 'Kudeka' huku wakiwa Wazee.

Naomba nisiendelee zaidi ya hapa na ukweli utabaki ule ule Rais Dkt. Magufuli, Serikali yake na Chama cha CCM 'Kinawajali' kuliko mjuavyo hapa.
 
You mean hii nchi imejaa wanafiki?
 
Tupate kusubiri tamko la CCM Kuwafuta uanachama hao waliompokea LISSU
 
Ndo kuweweseka huko lazima mwisho wa siku utatafuta tusi tu.
Kaka yanayopangwa na Mkoa wa Mara chini kwa chini toka Vijijini had mjini, ukiyajua Kama wewe ni msimamiz Wa Uchaguzi Mkoa huuu usije ukathibutu kuiba, Jamaaa hawa wamepanga mipango madhubuti mno wanasema wao ukipora kura zao watakubeba na kukupeleka msituni ukawaeleze umepeleka wapi kura zao hawataogopa polisi, watakuwa Kama sisimiz na wako Tiyari kuhakikisha kuwa Mkoa wa Mara unakuwa ndio kitovu cha ukombozi wa nchi hawataki kuwahiwa na Mkoa mwingne wameamua kuweka history Ya ukombozi wa Mara Ya pili hutaaamini kitakachotokea
 
Haya ni matusi mengine kwa baba wa Taifa ambaye tayari Lisu alishamtukana,
 
Na wewe umeamini hizo porojo za kwenye vijiwe vya kahawa??
 
J
Bila picha wangesema uongo
Jiwe linaona haya ilooo
 
Usije kushangaa kusikia familia ya Nyerere inachunguzwa uraia wake .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…