Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Vp kuhusu mama Maria kusema alilazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Jiwe kuongeza vichwa?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Oparesheni SAFISHA.......from Sirali to TUNDUMA
 
Aisee mtamuua yule mzee jamani,Lissu ameuonee huruma kwa kweli.
 
Mtikisiko WA kisiasa wa kipimo cha 56.7 kuitikisa Tanzania. Oh God rem us.
 
Jiwe ana roho mbaya sana na hii nimegundua katibu asilimia 90 ya wasukuma ni madhaifu sana wa roho..
 
Lissu ni mkweli kama Nyerere alikua muongo kwanini usisemwe lakini mbali na hivyo haimuondolei kua Baba wa taifa...sawa na Jiwe ana roho mbaya lakini haimuondolei kua ndiye Rais wetu.
Atubu,kwani alishawahi kusema kuwa "Nyerere alizoea kuishi kwa uongo" hii karma itatamtafuna bila kumbakiza
 
Jiwe ni laana kwa Taifa hili

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…