Rais hatoisaini sheria hiyo hata ikipitishwa bungeni.Wakati wa bwana yule, mlikua mnaimba mapambio kusifu kila kitu. Sio ajabu hata sasa unafanya jambo lilelile.
Tunae rais dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe!
Kimsingi Sheria itungwe Kwa maslahi ya nchiSio ombi
Ni lazima wabunge mhakikishe mnalinda maslahi ya TISS kwani hata ninyi hua mnalindiwa maslahi yenu...
Ule ushungi umeficha pembe nyeusi za shetani subirini na mmmbado! We Jiwe achague mtu asiyeendana naye subutu!Kwa sheria hii, TISS wanapewa rasmi kibali cha KUUA, KUPOTEZA, KUPIGA RISASI (kama yaliyofnyika kwaLISU).
Tujiandae.
Acha basi!!!Waliouchomekea muswada huo watakuwa ni Sukuma gang.
Kassim Majaliwa Majaliwa ni mtu hatari sana kwenye nchi hii. Mama Samia ajichunge sana na huyo mtu.
Raia mwema au ujinga na uoga wa kipumbavu, tunduma border haipitiki wazambia kama 200 wanafanya push back kupigania haki zao, wapumbavu always wanakimbilia humu kulalamaTuwaunge mkono TISS ili waweze kutekeleza operation zao vizuri, hiyo haina madhara kwa raia mwema anaefuata sheria za nchi na sheria hiyo wanaitumia Rwanda, Burundi, Zimbabwe, na Uganda hivo haina shida
Tuwaunge mkono TISS ili waweze kutekeleza operation zao vizuri, hiyo haina madhara kwa raia mwema anaefuata sheria za nchi na sheria hiyo wanaitumia Rwanda, Burundi, Zimbabwe, na Uganda hivo haina shida
Sasa hiyo katiba mpya itakuwepo leo au kesho??Katiba mpya itaondoa kila upuuzi unaowekwa leo au uliowekwa juzi
Nchi zote ulizozitaja ndizo zinaongoza kwa mauaji ya raia yenye utata, kupotea kwa watu kwenye utata na mambo kama hayo. Ndizo zinaongoza kwa UDIKITEITA AFRIKA kama siyo dunianiTuwaunge mkono TISS ili waweze kutekeleza operation zao vizuri, hiyo haina madhara kwa raia mwema anaefuata sheria za nchi na sheria hiyo wanaitumia Rwanda, Burundi, Zimbabwe, na Uganda hivo haina shida
Umeeleza vizuri sana kwa undani na inaonekana kama ulivyosema umekuwa muathirika wa matukio ya TISS naamini unayajua vizuri madhara ya kupitisha sheria hii1.Kwanza kabisa napenda kusema kwamba Mimi binafsi huwa sipendi na wala sina utamaduni wa kupenda kutoa maoni yoyote humu mitandaoni. Hata matumizi yangu ya kawaida ya simu ktk kuwasiliana huwa ni hafifu, lakini kutokana na unyeti mkubwa na hatari kubwa itakayoletwa na suala hili la Mabadiliko ...
Sheria zapitishwa kwa kulindana tutafika kweli? Badala ya kulinda maslah ya taifa
Sad!!
The inner strength of this law willbe used against themselves.(viongozi)Sio kulindana hiyo sheria inalinda maslahi ya nchi
Na hapa hatakuwepo wa kutusikiliza. Imagine wanatokea CEO wa JF na kumlazimisha atoe taatifa zako ama apigwe shaba ya kichwa au akatwe kidole. Vaa kiatu chako kisha uobe ungekubali kukatwa kidole au kutoa taatifa za memba anayetafutwaKwa jinsi watumishi wetu wasivyo na maadili, tutarudi hapa kuliliana!
Comment ya kizalendo kupita maelezo.1. Ni jambo la kushangaza na kusikitisha kuwa tuna watu kwenye mamlaka wanafikiria kulinda uovu wao kupitia sheria.
2. Pasipo hata kusoma mabadiliko ya sheria yenyewe unaona dalili/viashiria vya hila na dhamira ovu..pengine ndio maana mkakati wa kuleta mabadiliko haya ulianza 2020 uchaguzi ulipoharibiwa ili wapatikane wale watakaopitisha mabadiliko haya...
Huyo mama Faiza ana matatizo makubwa sanaAcha basi!!!
Tangu lini Waziri mkuu akaleta MISWADA bungeni!!!
Acha kukwepesha lawama ww ,anachomekeaje wakati Kuna waziri mwenye dhamanaWaliouchomekea muswada huo watakuwa ni Sukuma gang.
Kassim Majaliwa Majaliwa ni mtu hatari sana kwenye nchi hii. Mama Samia ajichunge sana na huyo mtu.