Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
- Thread starter
- #81
Maombi/Sala ni nini?hakika yake hakumwombea, alimwita atoke kaburini, tena aliita kwa sauti. alipofika tu pale kwenye kaburi alielekeza jiwe litolewe kwenye mlango wa kaburi, akaita kwa sauti lazoro toka nje, akatoka ali mzima. hakumwombea. kama msomaji wa Bible hautaendelea kubishia jambo hili.