Unafungua sana code mkuu, huwezi kukuta mwl wa kijijini anafundisha twisheni eti kuongeza kipato walimu mlioko town pigeni tuition sana tena muwafuta watoto majumbani kwaoWa zamani sio siku hizi.
Graduate anavuta sio chini ya laki 8 akiwa na masters anavuta 1.8.
Ukipata Kazi ya ualimu omba vijijini life is simple Hakuna kufatiliana baada ya Kazi piga ujasilimali.
Timiza wajibu wako wasome wasisome shauri yao na wazazi wao ukijifanya unawafatilia fatilia Ili wasome watakuroga.
Anaetaka kusoma mpe ushirikiano.
Wikiendi kuwa bize kwenye mishe zako.
Ooh!Jibu kwanza swali langu mkuu ni system gani inaweza kukulipa nusu mshahara afu useme imekuondoa?
Kwa taarifa yako nikipata cheki namba kama sina cheti feki nikitaka kurudi kazini narudi tu muda wowote,kama una ndugu au rafiki anae hiyo shida nipm tusaidianeOoh!
Kumbe hatukuelewana mkuu!
Nilichokuwa nakijadili mimi ni kwenye huu utoro mpya alioufanya baada ya kulipwa elf34 na kukimbia kazi, sio ule wa zamani alioenda na akarejea kazini kisha kuadhibiwa kwa kukatwa mshahara!
Sasa hivi kaondoka kiutoro kwa mara nyingine tena bila ruhusa ya mwajiri wake.
Baada ya muda flani kupita asiporejea, bodi ya uchunguzi itakaa na kumfuta katika daftari la ajira, ndicho nilichokuwa nakijadili mimi kwa kusema kuwa, anakokimbilia hata akitafuta kazi kuajiriwa itakuwa si rahisi kwa sababu sasa hivi "data base" ya daftari la ajira kwa watumishi wa umma ni moja tofauti na zamani.
Kuwafungulia code wanaodharau Kazi ya ualimu, walimu wengi wamejenga nyumba za kisasa nzuri tu.True pia fursa nyingi mjini.Unafungua sana code mkuu, huwezi kukuta mwl wa kijijini anafundisha twisheni eti kuongeza kipato walimu mlioko town pigeni tuition sana tena muwafuta watoto majumbani kwao
Sahihi kabisa mkuuNa hii ndio maisha yafamilia zetu nyingi yalivyo!
Walimu wanapata pesa ndefu tu,sema ni matumizi yako ndo yataamua sasa...Walimu waboreshewe maslahi kama wabunge.
Nilisikia report ya katibu mkuu wa tume ya Utumishi wa Walimu kwamba asilimia 50 ya Walimu wamefukuzwa kazi kwa utoro baada ya kuishi ktk mazingira magumu.
Mbona hatusikii idadi hiyo kuacha kazi Benki Kuu, TRA, Uhamiaji, Bandari, Jeshi?
Degree 716000/=Wa zamani sio siku hizi.
Graduate anavuta sio chini ya laki 8 akiwa na masters anavuta 1.8.
Ukipata Kazi ya ualimu omba vijijini life is simple Hakuna kufatiliana baada ya Kazi piga ujasilimali.
Timiza wajibu wako wasome wasisome shauri yao na wazazi wao ukijifanya unawafatilia fatilia Ili wasome watakuroga.
Anaetaka kusoma mpe ushirikiano.
Wikiendi kuwa bize kwenye mishe zako.
Alikuwa hana wito wa ualimuNimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.
Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini.
Mwalimu huyo wa kike aliishi maisha magumu sana hapo hapo shuleni ,alikosa mpaka hela ya kula ilimlazimu auze miwa na maembe aliyoyaokota hapo shuleni ili apate pesa ya kula.
Uzalendo ukamshinda baada ya mazingira magumu ya kazi aliamua kuondoka kazini bila ya taarifa kwa muajiri.
Habari nilizozipata mwalimu huyo yupo Mlandizi akifanya kazi ya kuhudumia wateja bar.
TSC mnapotoa adhabu ya kupunguza mishahara kwa walimu mzingatie iwapo kama mtuhumiwa ana mikopo benki, isitoshe adhabu ya kupunguza mshahara ni ya kikatili maana mshahara wenyewe hautoshi hapo hapo mnaupunguza.
Habari nilizozipata huyu mwalimu alikuwa na madeni benki na taasisi za fedha hapo Bagamoyo.
Kutokana na mazingira magumu ya kazi mwalimu huyo kaamua kutelekeza kazi yake.
Haiwezekani maana kwenye mfumo wa ulipaji mishahara moja ya tatu hairuhusu.Ni elfu thelathini na nne(34000).Mr.Ban huyu mwalimu ni graduate, ana degree kutoka UDSM.
Acha uongo 1 ya 3 hairuhusu hata kama una deni benki ya dunia mfumo hauruhusu .Hawajali, wanakata tu....nchi ni yao....
Waache waisome namba. Huenda akili zao zitakaa sawa.Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.
Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini.
Mwalimu huyo wa kike aliishi maisha magumu sana hapo hapo shuleni ,alikosa mpaka hela ya kula ilimlazimu auze miwa na maembe aliyoyaokota hapo shuleni ili apate pesa ya kula.
Uzalendo ukamshinda baada ya mazingira magumu ya kazi aliamua kuondoka kazini bila ya taarifa kwa muajiri.
Habari nilizozipata mwalimu huyo yupo Mlandizi akifanya kazi ya kuhudumia wateja bar.
TSC mnapotoa adhabu ya kupunguza mishahara kwa walimu mzingatie iwapo kama mtuhumiwa ana mikopo benki, isitoshe adhabu ya kupunguza mshahara ni ya kikatili maana mshahara wenyewe hautoshi hapo hapo mnaupunguza.
Habari nilizozipata huyu mwalimu alikuwa na madeni benki na taasisi za fedha hapo Bagamoyo.
Kutokana na mazingira magumu ya kazi mwalimu huyo kaamua kutelekeza kazi yake.
Ukiwa umekopa benk umebakiwa na 1/3, halafu ukapata kosa la kukatwa mshahara na serikali, makato yanapenya tu bila shida. Labda itakuwa huyo Mwl pia alikuwa amekopa zile sehemu za kuacha ATM ndio maana alibakiwa na wlfu 34.Haiwezekani maana kwenye mfumo wa ulipaji mishahara moja ya tatu hairuhusu.
Duhhh!Ni elfu thelathini na nne(34000).Mr.Ban huyu mwalimu ni graduate, ana degree kutoka UDSM.
Kajenga nyumba ya kuishi ikaisha!?Sasa ale wapi?Sijauliza anadaiwa na taasisi ipi, nimeuliza peza za mikopo ziko wapi?