Problem wamejichanganya wenyewe wamegeuka wapinzani wa CCM kwa hiyo hata wapinzani halisi wa CCM wamebaki kwenye winning side ya kuendana na mama and Samia ili kumpima taratibu wakati wao wanaendelea kuvurugana.Daah ,,,ndugu zangu CCM sa hivi kazi mnayo aiseee... Threads zenu HAZISOMWI KABISA.
Wewe ndo mjinga unayetakiwa kutumia hata akili kidogo uliyonayo ya Darasa la 7 kujua kwa nini CAG hakupitia kabisa Taasisi unazotaja. CAG Kichere akiteuliwa na Magufuli baada ya kumtumbua Professor kwa kufanya kazi yake kwa weledi na haki na kazi ya Ripoti ya Kichere alifanywa kabla Mwendazake hajaenda, Ripoti ikaandikwa, ikachapwa na kubind Marehemu akiwa bado typo na alikuwa akabidhiwe yeye sote tunajua nini kingetokea kwa CAG.TUMIA AKILI YA KAWAIDA TU
Hivi kwanini CAG hajaigusa Ofisi ya makamu wa Rais , kipindi hicho Mama alikuwa huko, tuseme yenyewe haikuwa na matumizi?...
Umekata tamaa π π πJPM alijenga SGR ili Watu Wapande Treni wapate Ajari Wafe!
JPM alijenga Bwawa la Nyerere ili Tupate Umeme, Utupige Shoti tufe!
JPM alijenga Barabara ili Kuwe na Wepesi wa Magari kupita Mengi, Yatugonge Tufe.
JPM Alitanua Airport, Na Bandari Mbalimbali ili Kuchochea Uchumi watu wapate hela, Walewe Wapate Ajari wafe..
JPM ametoa Elimu Bure Shule ya Msingi Mpaka Sekondari, Ili Vijana Wanufaike na Elimu wawe Wataalam hata waajiliwe na Kujiajiri Wapate Pesa, Wawe Wahuni wafe na Ukimwi.
JPM amesaidia Machinga na Mama Lishe ili Wanyanyuke Kiuchumi wajenge Nyumba zao za Kuishi ziwaangukie..
JPM amejenga Madaraja na Vivuko ili tupate Sehemu Nzuri ya Kujirusha pale Tutakapotaka Kujiua tukiwa kwenye Changamoto za Maisha/Mapenzi
NIMEAMUA KUWAZA KAMA PROF ASSAD.. Ni Kweli JPM hakuwa na Nia Njema na Watanzania na Nchi kwa Ujumla.
Kwa sasa wanabutuana wenyewe kwa wenyewe laana inawatafuna.Problem wamejichanganya wenyewe especially team sukumagang yani wamegeuka wapinzani wa CCM kwa hiyo hata wapinzani halisi wa CCM wamebaki kwenye winning side ya kuendana na mama and Samia ili kumpima taratibu wakati wao wanaendelea kuvurugana.
Sukumagang nawashauri wakifufue chama cha John Cheyo kitawafaa wamuweke Andrew Chenge awe Mwenyekiti wao waanze mapambano, wao nasikia ni kabila kubwa sana π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huna akili
Nimeshangaa ripoti nnzima wizara ya fedha kuachwa wakati ndio mzizi
Wizi wa nchi uko sehemu nne benki kuu, hazina, tra na bandariNimeshangaa ripoti nnzima wizara ya fedha kuachwa wakati ndio mzizi
usikute alinyimwa nyaraka kama alivyoeleza AssadNimeshangaa ripoti nnzima wizara ya fedha kuachwa wakati ndio mzizi
Alikuwa fisadi mkubwa sana huyu jamaa sasa nchi itakuwa shwari.Tunahitaji mafisadi kama Magufuli kwa miaka 30 tu ili nchi yetu iwe kama Ulaya.
Kama huyu jamaa aliiba mabilioni ya pesa na bado akaweza:
-Kununua ndege zaidi ya 9 kwa cash. ( Ni wajinga sana wanunuao ndege kwa cash )
-Kutoa elimu bila malipo kwa miaka takribani 6 (Hata ulaya hawatoi elimu bure)
-Kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati (reli ya kisasa, umeme mkubwa, madaraja makubwa, barabara etc. kwa cash sio kwa mkopo.
-Kijenga vituo vya afya zaidi ya 400 nchi nzima( sio Zahanati jamani, vituo vya afya hata huduma ya operation inapatikana)
-Kulipa watunishi wa serikali kabla ya tarehe za mishahara.
-Kujenga vituo vipya vya mabasi kila mkoa.
Kujenga masoko makubwa kila mkoa.
-Kubwa kuzidi yote...kuingia uchumi wa kati miaka 5 kabla.
Huyu jamaa hatari.