TANZIA Mwana-JamiiForums, Thadei Ole Mushi afariki dunia

TANZIA Mwana-JamiiForums, Thadei Ole Mushi afariki dunia

Rip Thadei Ole Mushi. Tusipiganie vyama. Tupiganie kodi zetu zitumike vizuri kwenye elimu, hasa afya, kwamba ukiumwa utatibiwa vizuri hata kama huna pesa.

Afya, elimu, miundombinu kama umeme, barabara, kodi, tozo zinamgusa kila mtu.

Watoto wetu wote wanazaliwa hospitalini. Tuna wazazi wanahitaji huduma za afya. Muhimu tupigane kujenga miundombinu ya afya.
 
Thadei OLe Mushi ametwaliwa katika Ulimwengu Mungu. Alikuwa kada wa CCM aliyependa haki na hakusita kukosoa adharani.

Alipoanza kuugua tu viongozi wa CCM wakajitenga naye na hakuna aliyejitokeza adharani kumtakia afya njema wala kutoa mchango wa matibabu .

Sawa ameondoka, tulitegemea account za wana CCM ziandike japo RIP lakini wote wamekaa kimya. Means kwao itikadi ya chama ni kubwa kuliko maisha na uhai?

Tujifunze kuchagua marafiki. Naamini siku ya mazishi wataandaa risala na watafanya kama vile siyo wao waliokaa kimya kwenye ugonjwa.

Tunapita ila tujiulize tunapitaje?
Siasa za Africa ni unafiki mtupuuuu
 
Thadei OLe Mushi ametwaliwa katika Ulimwengu Mungu. Alikuwa kada wa CCM aliyependa haki na hakusita kukosoa adharani.

Alipoanza kuugua tu viongozi wa CCM wakajitenga naye na hakuna aliyejitokeza adharani kumtakia afya njema wala kutoa mchango wa matibabu .

Sawa ameondoka, tulitegemea account za wana CCM ziandike japo RIP lakini wote wamekaa kimya. Means kwao itikadi ya chama ni kubwa kuliko maisha na uhai?

Tujifunze kuchagua marafiki. Naamini siku ya mazishi wataandaa risala na watafanya kama vile siyo wao waliokaa kimya kwenye ugonjwa.

Tunapita ila tujiulize tunapitaje?
May his soul rest easy [emoji1416]
 
Ukisema R.I.P. ndiyo marehemu atachukua ushauri wako na kulala kwa amani? Hizo kwaya za R.I.P. ni watu kufuata mkumbo tu lakini kiukweli haina mantiki wala uhalisia.
 
Screenshot_20240204-201137.png

Anae tajwa kuwa muuwaji anapitia huu uzi bila huruma na ame like comment yangu hii duuhhhhh
 
Back
Top Bottom