Naamini deni ni kubwa lkn. bado ni stahimilivu(resilient)! tatizo letu kubwa ni kufananisha deni la taifa au uhai wa taifa na mtu binafsi. wapo wanaoamini siku moja tutafugwa jela, kufilisiwa au taifa kupigwa mnada kwa sababu ya deni, Ndio maana hata kwenye uwekezaji wa bandari kule Bagamoyo wasomi wetu walikua wanahoji 'miaka 99! ,si sote tutakua tumekufa?
Magufuli mpaka anakata moto deni la taifa lilikuwaje? Mama keshaongeza trilioni ngapi tangu aingie madarakani?
Wala hakuna shida,deni linaliowa hata lingefika Trilioni 900 kinaendelea kulipwa.
Cha muhimu hakuna mtu atakukopesha kama huna uwezo wa kulipa.
Mwisho Deni lenyewe ukilinganisha na GDP ratio hata 50% Bado ilhali Ukomo ni 75% na Kuna Nchi deni lao ni zaidi ya 100% ya GDP na maisha yanasonga.Deni la Nchi sio sawa na deni la mtu au taasisi
100%Una uhakika na unachosema?
Wewe unafeli wapi kupiga?Awamu ya upigaji
Unawazuiaje kwa mfanoKopeni sana ila msije uza ardhi ya wilaya ya Mbarali kwa kizingizio cha ranch
Sasa si ututajie hivyo vyanzo, wengine hatuvijuwi. Au ni siri yako?Vipo vyanzo vya kutosha kuiingizia hii nchi pesa za kutosha, kabla hata ya kuzungumzia uvujifu wa mapato kwa kuondoa matumizi yasiyo ya lazima. Kinachohitajika ni akili tu kama za Wa-Israeli wanaoishi jangwani.
Yes matajiri kweli, siyo utani. Hilo nakubaliana mwendazake na nilikuwa nalisea miaka mingi sana kabla ya jiwe.Sisi ni matajiri, Jiwe 2020 [emoji16]
Hapana, vipo vya wachumi wetu na vipo vya wachumi wanakopesha.Acha propoganda nyepesi, viwango vya kukopa na kukopeshwa kwa nchi huwa vinaamuliwa na wanasiasa tu.
[emoji2956][emoji2956]Naamini deni ni kubwa lkn. bado ni stahimilivu(resilient)! tatizo letu kubwa ni kufananisha deni la taifa au uhai wa taifa na mtu binafsi. wapo wanaoamini siku moja tutafugwa jela, kufilisiwa au taifa kupigwa mnada kwa sababu ya deni, Ndio maana hata kwenye uwekezaji wa bandari kule Bagamoyo wasomi wetu walikua wanahoji 'miaka 99! ,si sote tutakua tumekufa?
....wako nipo hapa [emoji106]Mumeo
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
Unaagiza kama unavyomuagiza mkeo kibandani kwako....unajionaje mkuu ?!!! [emoji44][emoji1787][emoji1787]Huyo Bibi ampishe Mpango kwenye kiti,Samia ni mweupe.Hivi tunataka tufikie hatua ya Ugiriki kufilisika kabisa ndiyo tujue hatuna Rais?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Tumependa wenyewe mm nilitegemea hicho kiwe kimeondoshwa muda mrefu kwa sababu kwa sasa wanachojua ni uchawa tu mpaka tunapata kichefuchefuCCM ni mashetani wakubwa.
Yaani iwe jua au mvua hilo deni haliwezi kulipika milele, litazidi kuongezeka maradufu na lazima rasimali zetu ziwekwe rehani kuweza kufidia. Kwa kifupi sana watanzania tumeuzwa kiujumla jumla.
CCM ilaaniwe.
Kumbe ni sadakaMsaada kutoka kwa Yasser Arafat
Kumbukumbu nzuri ya Uwepo wa hilo taifa Wakati fulani!
Kwahiyo huyu Mtanzania anadaiwa 1, 700,000 hivi anajua kweli?