mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
- Thread starter
- #41
Wanaume siku hz tumesahau kuwa mwanamke anapaswa kuwa sehemu ya maisha yako sio mwanamke awe maisha yako. Wanawake wapo kutupa upendo nas tupo kuonesha upendo. Mwanamke anatak uzungumze naye kihisia. Tafta mwanamke aliye kweny ligi yako. Hwez lala na kila mwanamke u
Aminaaaa