Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu


πŸ˜€πŸ˜€
Soma kwa ufahamu Mkuu.
Kipi kigumu kuelewa
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒJF bwana watu wanapanik sana
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒJF bwana watu wanapanik sana

Vijana zama hizi watakula vyuma sana kwa sababu zile zama za umungu mtu zinayoyoma. Sio ajabu wanakataa ndoa hapa.

Sasa mtu kutoa maoni na mtazamo wake ati kuna mtu anachukia na kukereka na wengine kufikia hatua kuomba dua mbayaπŸ˜‚πŸ˜‚ uone jinsi Watu walivyo shimoni.

Alafu wao wakiwa hivyo walivyo sisi Watibeli hatuna noma kabisa
 
Kweli hicho kijiwe nongwa,acha ukutane na wenye nongwa wenyewe, mtaelewana tu.Hadii waseeemee😁

Alafu bora wanawake ndio wawe na mihemko lakini kwa mwanaume kupandisha midadi kizembe haivutii.

Fikiria kuja mwanaume anajisikia vibaya ati akiona wewe ukiishi maisha yako. Sasa huo si uchizi
 
Kwamba awe mzur ana tabia nzur anaweza lea watoto alafu hajaolewa? Wew umpate mtandaon. Broo unatumia ubongo tulonao binadam wa kawaid?

πŸ˜€πŸ˜€
Watu bhana.
Duniani hakuna lisilowezekana isipokuwa kiumbe kuwa Mungu tuu
 
Hakuna mwanamke Yuko interested na ulichoandika anaangalia kama una Hela huna za kumtunza kafie mbele huko na vigezo vyako
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Aseeee!!!!unaakil sanaaa za kuona mbele πŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ€
 
Weka cheti tuone ulipata ngapi?

Kuna watu wamefaulu kwa maksi za juhudi ya shule na sio akili zao per see. Ukiongea nae huoni hiyo A au B yake !!!

Fikiria tena
 
Nipo hapa baba mkeo mtarajiwa πŸ˜˜πŸ’‹
Sifa zote ninazo kasoro bikra ya mbele sina ilitoka wakati naendesha baiskeli 😜
 
Marks na mke wapi na wapi ndugu yangu, hakunaga formula kwenye ndoa... Unaweza kuoa na marks zake 75 na ukagongewa na kijana alieishia la 7b tena siku 1 kabla ya ndoa yenu analiwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…