Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #61
Jana umesema haujajipata kimaisha, halafu leo unaandika gazeti lenye vigezo vya mwanamke umtakaye.
Iwapo wewe hujajiandaa kuwa mume, ni kwanini unaweka vigezo na masharti ya mwanamke umtakaye?
Kama hauko tayari kuwa baba, kwanini utake mwanamke aliye tayari kuwa mama?
πππJF bwana watu wanapanik sanaHuyu ni mwehu Kiungopunda anavyojiona ni duni na jinsi wanawake wanavyompeleka mpaka ameathirika kisaikolojia na hawaamini tena anafikiria kila mwanaume ni kama yeye.
Hawa ndio wale tunaowaambia watafute pesa ili wabusti self-esteem Yao.
Bila pesa wanajiona sio lolote sio chochote na hutambulika kama Wanyonge tuu.
Sisi Watibeli hata bila pesa bado tupo juu na tuko na heshima popote tutakapokuwa
πππJF bwana watu wanapanik sana
Utakojoza sana!lakini kama ameamua jambo lake huwezi mzuia!!!Mwanamke anayeitwa mkeo au mpenzi wako kama humkojozi wewe kwake sio lolote wala chochote. Huwezi mtawala.
Waulize wenyewe kama wewe unashindwa kujiongeza
Kweli hicho kijiwe nongwa,acha ukutane na wenye nongwa wenyewe, mtaelewana tu.Hadii waseeemeeπ
Utakojoza sana!lakini kama ameamua jambo lake huwezi mzuia!!!
Homosapiens ni dynamic!
Shape [emoji1371] Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%[emoji23]
Ni kibinda nkoi lakini Mtibeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba awe mzur ana tabia nzur anaweza lea watoto alafu hajaolewa? Wew umpate mtandaon. Broo unatumia ubongo tulonao binadam wa kawaid?
ππππ Aseeee!!!!unaakil sanaaa za kuona mbele πππ€π€Hakuna mwanamke Yuko interested na ulichoandika anaangalia kama una Hela huna za kumtunza kafie mbele huko na vigezo vyako
Hata 20 nimeshindwa mkuuUkifikisha asilimia 75 hapo automatically utaweza kuishi na Mimi.
π€£anaongea huyooπKwani kijana ana shida ganπ
Jua limewaka Hela hamna naojaribu kuwachatisha hawanijibu....njoo sogea sogea huku basNinazo zote, sema bikra ilitoka kwa baiskeli bana ππππ
Na ww ukitaka mume weka kigezo kimoja πππambae hajawahi piga nyetroo uone kama hujazeekea kwenuNinazo zote, sema bikra ilitoka kwa baiskeli bana ππππ