Maisha yatutese, pesa zitutese.....mavzzzz yatutese kweli hapa ni kuteseka tu.
Umenikumbusha sukuma wiki, mchicha huwa unakua harakaMjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.
😉😉😉😉😉Huo ni utumwa.
Indolence age inakusumbua unanguvu za kuona kuliko kufikilia cognitive stage hiyo, kua mkuuTupia kapicha basi chief
Mm sijakataa ila nikili TU kumbe bado mambo mengi siyajui🫵😂makurumbembe yatakataa
Kwanini siku ile walikushambulia vile mkuuJukwaa la dini nipo
Toa sadaka sadaka ya kujimaliza ufunguliwe malango yako ya baraka hadi kizazi chako cha nne
Abee
Wangu hathubutu hata kuchomoa moja anasubiri hadi ni rudi ni mnyoe mwenyewe na ole wake nikute kanyoa atarudi kwao hakikaHapa wengi watabisha, kwakuwa Mila zetu za ki Africa zilipigwa teke
Mwanamke aliyefundwa, aliyeenda unyagoni ni marufuku kunyoa sehemu zake za Siri bila ridhaa ya mmewe
Kitendo cha mwanamke kujiamulia kunyoa sehemu zake za Siri ni ishara ya umalaya na dharau kubwa Kwa mme wake
Mwanamke kunyoa sehemu zake za Siri bila ruhusa ya mme wake ni ishara ya ushirikina na kuleta mikosi Kwa familia
Mwanamke akitaka kunyoa laZima amjulishe mme wake nae aridhie,
Sio mwanaume Yuko safari anakuta kipara aisee laZima urudi kwenu na makovu
Wanawake mnapohitaji kujisafisha sehemu za Siri si vibaya kumwambia mmeo ili ajue, itaonesha heshima na uaminifu japo Kuna makurumbembe yatakataa
Ndo maana ya kuwa mwili mmoja
Hahaha kwa hiyo na ww unahongwa jamanSiku ya kunikabidhi kale ka IST
[emoji23][emoji23][emoji23]
Vuzi linaboa sana ukiwa unagegedaNi ishu kubwa sana
Dah ngara23 mi ndio mzeewasenta mkuu wa kayaWe Bado mdogo