Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

hebu jiulize mujahidina anapiga picha na mademu? anapiga picha na pombe? anapiga picha yupo club anakula bata. hebu jiulize kwanini watu wote wanao mfahamu wanasema Hamza ni mtu mzuri
 
Huyo ni gaidi alikuwa anataja Allah Akbar
Kama alikuwa na msongo wa mawazo....kunaweza kisababisha akafanya chochote like...hujaona watu walio changanywa na maisha jinsi wanavyolitajja Jina la Yesu?!
Na kimsingi haya Makanisa ya Kiroho...ya Kina Gwaji Boy yamejaa watu Hawa!
Acha kichochea Udini!
Alah Akbar maana take Mungu ni Mkubwa!
Aliyechanganyikiwa /hawezi tamka hayo!
Tuache wenye mamalaka wafanye kazi hayo...Kama wakiamua kufanya!
 
hebu jiulize mujahidina anapiga picha na mademu? anapiga picha na pombe? anapiga picha yupo club anakula bata. hebu jiulize kwanini watu wote wanao mfahamu wanasema Hamza ni mtu mzuri


Hamza mtu poa Sana....dhuluma ndio ilimbadilisha akawa mtu mbad..
 


Walimpiga ya kichwa ili tusijue ukweli...ukweli wanaujua ndo maana wakaamua wamalize kesi pamoja na Hamza kusurrender...
 
Mwananchi litakuwa limekula mkwanja kusafisha familia ya gaidi na ukizingatia kaimu mkurugenzi wa mwananchi ni wale wale
Police ichunguze vyombo vya habari vinavyotwist na kutetea magaidi
Kama ulikuwemo kwenye akili yangu
 
hebu jiulize mujahidina anapiga picha na mademu? anapiga picha na pombe? anapiga picha yupo club anakula bata. hebu jiulize kwanini watu wote wanao mfahamu wanasema Hamza ni mtu mzuri

Uliza Khalid Sheikh Mohamed kiongozi wa mashambulizi ya WTC alivyokuwa akijirusha kimataifa acha huyu Hamza ambaye ni bazazi wa locally.
 
Walimpiga ya kichwa ili tusijue ukweli...ukweli wanaujua ndo maana wakaamua wamalize kesi pamoja na Hamza kusurrender...
Hakika, yule alishaamua yaishe, kwanza kwa vyovyote zile bunduki zilikuwa na risasi chache sana,
Asingeendelea!
Kuna mawili
1.Aidha Askari wetu hawana weledi ..kwa kuwa baada ya kupigwaa bomu la machozi wangeweza kabisa kumpata akiwa hai.
2.Waliamua makusudi kumuua kwa sababu Maalum
 

Idadi ya risasi gaidi Hamza alizopelekewa/miminiwa baada ya kudondoshwa chini inaonesha pasi shaka askari walikuwa wanajua wenzao walisha kufa na walikuwa wamepandwa na munkari wa kulipiza vifo vya wenzao. Kufa kwa Hamza hukuondoi kupata majibu ya muhimu kuhusu gaidi Hamza. Alijichanga kiasi cha kutosha kwenye jamii. Ndio maana unaweza kusikia watu nje ya familia wanajua alienda akakaa Misri kama miaka mitano hivi. Kutaka kujaribu kuficha alichofuata Misri ndizo hizo hadithi eti alikuwa na maruhani na aliporudi kutoka Misri akawa mashallaah!

Wakawadanganye wajinga mafunzo ya kigeshi pamoja na mambo mengine nidhamu hutiliwa uzito wa juu.
 

Huo "msongo wa mawazo" a.k.a "stress" unaozaa "roho ya mauti/mauaji" halafu kuua huko kuwalenge polisi tu, basi hiyo "stress" ni very unique inayohitaji kuthibitishwa na wana Saikolojia wabobezi hasa...

Katika akili ya kawaida, msongo wa mawazo wa namna unaozalisha roho ya mauaji na ukawalenga watu specific, tafsiri yake isiyohitaji elimu kubwa ya saikolojia ni kuwa, waliolengwa kuuwawa ndiyo chanzo (waliosababisha) mtu huyo kuwa na stress hiyo...!!

Na kwa scenario hii ni kuwa, polisi ndiyo walimpotezea/mnyang'anya/mwibia Hamza hiyo 400,000,000...!
 
hebu jiulize mujahidina anapiga picha na mademu? anapiga picha na pombe? anapiga picha yupo club anakula bata. hebu jiulize kwanini watu wote wanao mfahamu wanasema Hamza ni mtu mzuri
Kati ya ya ao wanamfahamu waliwah kujua kabla kuwa anaweza kutumia machine kwa namna ile?
 
Watu wa media wanasubiri press conference ya jeshi la police
 
Vyombo vya habari vya Tanzania vimekosa kabisa maana kwani vimekuwa vya hovyo ni hakuna mfano. Wao hawawezi kufanya uchunguzi wao uliyo huru, wanasubiri kulambishwa matapishi na polisi.

Huyu kijana aliyeua hao mapolisi mbona tunasikia kwamba kuna mapolisi walimpora dhahabu ndio ikampa ghadhabu kwani hata kwenye tukio hakuwa na shida na raia ila polisi tu ndio ilikuwa target yake.

Hapa kama walivyo polisi wetu hawa wa kiswahili watabumba stori ya uongo tu ili mradi ukweli usijulikane. Sasa kama ni usongo wa mawazo kwa nini awawinde polisi tu. Polisi wakijibu hili swali, please tag me.
 
haha, acheni ujanja, acheni dhuluma, mtakula chuma sana
 
Utakuwa Msongo Wa Polisi ..vinginevyo ni u..snerema..wasitufanye hamnazo
 
Kuna mazito nyuma ya hili tukio tatizo wanaofanya uchunguzi wanaweza kuwa ndo wahusika wakuu
Kama Serikali Ina nia ya dhati kupata ukweli wa tukio hili Basi wangeunda tume hata tatu.

Moja wapewe Polisi. Waiunde wenyewe, wachague wajumbe wanaowataka Kama wataamua wote wawe Polisi au watachanganya na wasiokuwa Polisi
Tume ya pili uindwe na TISS
Tume ya tatu iwe ya watu wasiotoka kwenye vyombo vya usalama.
Tume zote hizi zisijuane wala zisijue kama kuna tume nyengine zinafanya kazi hiyo hiyo.

Tume ya Polisi iwe ya mwanzo kuwasilisha ripoti yake.
Mwisho Serikali watalinganisha na kumjua muongo nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…