Kwani bokoharam wale magaidi wa Nigeria huwa wanateka mtu yeyote au watu wowote?
Je huwa wanateka watu wazima na wazee?
Au wanatekaga mabinti wa Shule mara nyingi z?!
Kwa hiyo nao utasema si magaidi sababu wako selective?!
Acha watuchanganyie taarifa tu!Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.
Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.
Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.
View attachment 1912045
Yote yasemwe ila binafsi naangalia tu alipopolwa dhahabu tu hapo hapo akajua vema matumizi ya:- Cover & Concealment
AK Manoeuvre & handling
Tactical reload
Tactical progression
Tactical mindset
Hayo yote ni mambo ya kitaalamu sana ambayo Hamza aliya apply vema kabisa juzi na si rahisi raia au mpiganaji asie na mafunzo kuyakumbuka na kuyatumia wakati wa mapigano.
Watu huru tunatakiwa KUFIKIRIA nje ya box
unachekesha sana eti watu waliokuwa kwenye dala dala waje watuambie alichokuwa anasema ha ha abiria walikuwa wameshakufa kiakili wapate muda wa kumsikiliza watu walikuwa wanawaza dhambi zao, mashamba, watoto wataishije baada ya kifo chake halafu wasikilize hotuba ya Hamza.
Acha kuangalia movie sana.....polisi ya kibongo sio FBI.
Pumbavu Sirro anaendelea kutapika utumbo hata hajui kitu chochote.......
Anayekunya ndio mwenye Mchakato wa Kujichamba, Sasa ni Juu yake abaki na Samadi Akiisigina au aisafishe, Out of [emoji320]Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.
Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.
Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.
View attachment 1912045
Sawa ila kwa nn ajifunze hayo yote kwa ajili ya kuwalenga polisi tu. Mm sijui Sana kuhusu hayo mambo ila nipoona video jamaa alivyokuwa anapambana na polisi nilijiuliza maswali kibao kuwa huyu jamaa anajua vema kutumia silaha, kujilinda na kujihami....ila swali likabaki kwa nn polisi tuuuuu...kwa nn polisi tuuu....
hebu jiulize mujahidina anapiga picha na mademu? anapiga picha na pombe? anapiga picha yupo club anakula bata. hebu jiulize kwanini watu wote wanao mfahamu wanasema Hamza ni mtu mzuri
Walimpiga ya kichwa ili tusijue ukweli...ukweli wanaujua ndo maana wakaamua wamalize kesi pamoja na Hamza kusurrender...
Uliona wakati jamaa anaporwa; au na wewe ndio walewale wanaosoma udaku?...Hamza aliporwa madini yake na waliyopewa dhamana ya kulinda usalama wa raia na mali zake. Ndiyo akachukua hayo maamuzi ya ajabu kwa hao jezi khaki...
hata wale jamaa wa 2014 mpaka 2017 walikuwa wanaua polisi tu,lengo ni kiwazuga wajinga wajinga wasielewe kipi ni kipi na wapate kuungwa nao mkono.
maana mtu na stress zake akiskia polisi amekufa anashukuru na kumwona hamza kama shujaa.kumbe ni ugonjwa wa akili unamsumbua nayeye pia.
hamza alisurrender wapi!!!
Ila wanaua kila mtu aliye mbele yao.. Au ulisikia wanateka tu mabinti ila kuua raia hawaui?Pia tujifunze Kwanini wale magaidi wa Nigeria bokoharam huwa wanapenda kuteka mabinti wa Shule tu badala ya kuteka watu mchanganyiko ikiwemo wanaume kwa wanawake bila kujali umri wala jinsia?
Mbona hawateki wazee? N.k
Je yale magaidi yaliyo kuwa yakishambulia pale stakishari na yenyewe yalitapeliwa dhahabu ?Westgate magaidi yaliwaua akina nani?
Garrisa je? Huyu Hamza kwanini alenge polisi pekeake, ile clip inaonyesha yupo nje ya ile daladala angeweza mimina za kutosha kwa raia lakini yeye alitarget mapolisi tu..
Kwanini hasira zake alimalizia kwa Polisi??
Tena Polisi WA Dar, huko Makongorosi Chunya hakuna Polisi. Kashfa za Sirro Kwa familia ya Hamza inaonyesha kuna Jambo anaficha. Mnafiki mkubwa huyu.Hata kama ni msongo je kwanini awaue polisi tu? Au unataka sema polisi ndio walimuibia hizo 400mil??
Tena Polisi WA Dar, huko Makongorosi Chunya hakuna Polisi. Kashfa za Sirro Kwa familia ya Hamza inaonyesha kuna Jambo anaficha. Mnafiki mkubwa huyu.