Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Kwani bokoharam wale magaidi wa Nigeria huwa wanateka mtu yeyote au watu wowote?

Je huwa wanateka watu wazima na wazee?
Au wanatekaga mabinti wa Shule mara nyingi z?!

Kwa hiyo nao utasema si magaidi sababu wako selective?!



Mkuu kwa Hamza tunaongelea kuteka au kufanya shambulizi...hv kuna gaidi anafanyaga shambulizi selective yaani anawalenga watu fulani tu na wengine anawapita tu...Tena anawaambia kabisa endesheni magari au mnakimbia nn???Huyu gaidi ni wa kipekee Sana.
 
Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.

Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.

Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.

View attachment 1912045
Acha watuchanganyie taarifa tu!
 
Yote yasemwe ila binafsi naangalia tu alipopolwa dhahabu tu hapo hapo akajua vema matumizi ya:- Cover & Concealment
AK Manoeuvre & handling
Tactical reload
Tactical progression
Tactical mindset
Hayo yote ni mambo ya kitaalamu sana ambayo Hamza aliya apply vema kabisa juzi na si rahisi raia au mpiganaji asie na mafunzo kuyakumbuka na kuyatumia wakati wa mapigano.

Watu huru tunatakiwa KUFIKIRIA nje ya box

hili swala na story za mtani ndio utajua ni namna gani tuna kundi kubwa mtaani ambako akili za maingi kabisa zinakosekana kwao.
mtu anakwambia hamza aliporwa madini akaamua aue askari,aliporwa madini wapi!!hapo salenda au huko shinyanga!!!
kama ni hapa dsm nani aliona akiporwa na polisi kukimbia???maana mashahidi no 1 wote wamekufa!!

aliporwa na aliowaua,baada ya kuwaua madini aliyachukua au yaliachwa yamwagike hapo na maiti za askari!!!vipi raia hawakwenda kuyachukua??maana kulikua na nusu saa nzima kabla ya polisi kufika.

ilikuwaje hamza akavaa mabuti tofauti kama alikuwa timamu!!
 
unachekesha sana eti watu waliokuwa kwenye dala dala waje watuambie alichokuwa anasema ha ha abiria walikuwa wameshakufa kiakili wapate muda wa kumsikiliza watu walikuwa wanawaza dhambi zao, mashamba, watoto wataishije baada ya kifo chake halafu wasikilize hotuba ya Hamza.

huko sawa kiakili wewe.
 
Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.

Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.

Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.

View attachment 1912045
Anayekunya ndio mwenye Mchakato wa Kujichamba, Sasa ni Juu yake abaki na Samadi Akiisigina au aisafishe, Out of [emoji320]
 
Sawa ila kwa nn ajifunze hayo yote kwa ajili ya kuwalenga polisi tu. Mm sijui Sana kuhusu hayo mambo ila nipoona video jamaa alivyokuwa anapambana na polisi nilijiuliza maswali kibao kuwa huyu jamaa anajua vema kutumia silaha, kujilinda na kujihami....ila swali likabaki kwa nn polisi tuuuuu...kwa nn polisi tuuu....

hata wale jamaa wa 2014 mpaka 2017 walikuwa wanaua polisi tu,lengo ni kiwazuga wajinga wajinga wasielewe kipi ni kipi na wapate kuungwa nao mkono.

maana mtu na stress zake akiskia polisi amekufa anashukuru na kumwona hamza kama shujaa.kumbe ni ugonjwa wa akili unamsumbua nayeye pia.
 
IGP kaelekeza lawama zake kwa wazazi wa Hamza...

Kwa lugha nyepesi ni kwamba polisi washakamilisha uchunguzi wao au walau wameanza kupata majibu ya maswali magumu...
 
1630174414876.png
 
hebu jiulize mujahidina anapiga picha na mademu? anapiga picha na pombe? anapiga picha yupo club anakula bata. hebu jiulize kwanini watu wote wanao mfahamu wanasema Hamza ni mtu mzuri

watu wote!!!!!

umesikiliza audio ya jamaa yule wa upanga!!anakwambia hamza aliishakuwa na mawenge huko nyuma hasa baada ya kutoka kusoma dini egypt,angalia hata picha anaonekana amevaa viatu pea mbili tofauti.
 
...Hamza aliporwa madini yake na waliyopewa dhamana ya kulinda usalama wa raia na mali zake. Ndiyo akachukua hayo maamuzi ya ajabu kwa hao jezi khaki...
Uliona wakati jamaa anaporwa; au na wewe ndio walewale wanaosoma udaku?
 
hata wale jamaa wa 2014 mpaka 2017 walikuwa wanaua polisi tu,lengo ni kiwazuga wajinga wajinga wasielewe kipi ni kipi na wapate kuungwa nao mkono.

maana mtu na stress zake akiskia polisi amekufa anashukuru na kumwona hamza kama shujaa.kumbe ni ugonjwa wa akili unamsumbua nayeye pia.


Hv wale wa 2014 to 2017 walikuwa wanakuja mjini Kati wanapora silaha na kuanza kuwashambukia polisi....na si kwamba walianza na wananchi polisi walipoingilia Kati ndo wakawa wanaua na polisi pia...ishu ya Hamza Kuna kitu nyuma si bure
 
Pia tujifunze Kwanini wale magaidi wa Nigeria bokoharam huwa wanapenda kuteka mabinti wa Shule tu badala ya kuteka watu mchanganyiko ikiwemo wanaume kwa wanawake bila kujali umri wala jinsia?
Mbona hawateki wazee? N.k
Ila wanaua kila mtu aliye mbele yao.. Au ulisikia wanateka tu mabinti ila kuua raia hawaui?
 
Westgate magaidi yaliwaua akina nani?

Garrisa je? Huyu Hamza kwanini alenge polisi pekeake, ile clip inaonyesha yupo nje ya ile daladala angeweza mimina za kutosha kwa raia lakini yeye alitarget mapolisi tu..

Kwanini hasira zake alimalizia kwa Polisi??
Je yale magaidi yaliyo kuwa yakishambulia pale stakishari na yenyewe yalitapeliwa dhahabu ?
Endeleen kuwa tetea majangiri na magaidi siku yatakapo wakuta ndio mta kapo lia kilio na kusaga meno
 
Hata kama ni msongo je kwanini awaue polisi tu? Au unataka sema polisi ndio walimuibia hizo 400mil??
Tena Polisi WA Dar, huko Makongorosi Chunya hakuna Polisi. Kashfa za Sirro Kwa familia ya Hamza inaonyesha kuna Jambo anaficha. Mnafiki mkubwa huyu.
 
Tena Polisi WA Dar, huko Makongorosi Chunya hakuna Polisi. Kashfa za Sirro Kwa familia ya Hamza inaonyesha kuna Jambo anaficha. Mnafiki mkubwa huyu.


Sirro si bure alipokea mtonyo wa hela iliyoporwa maana si kwa chuki ile...tukio afanye Hamza hasira uelekeze kwa wazazi wake??? wakati Hamza ni mtu mzima..upuuzi kabisa
 
Back
Top Bottom