Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

Mbona hoja zipo low Sana. Kwa hiyo Yale ndio upendayo wewe. Kweli tupo tofauti Sana. Wenzako wanaomba msamaha wewe unapongeza? Kweli

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Mbona hoja zipo low Sana. Kwa hiyo Yale ndio upendayo wewe. Kweli tupo tofauti Sana. Wenzako wanaomba msamaha wewe unapongeza? Kweli

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
Nani wenzangu wanaliomba msamaha? msamaha wa nini? kuna kitu lazima ujue hakuna hata siku moja nchi nzima ikakubaliana 100% hata liwe jambo zuri kiasi gani kuna mtu atalipinga ndio maana tuna uchaguzi na hizi chaguzi majority ndio anaendesha serikali na ndio wanaamua kwa niaba ya watu hata kwa wale minority sasa hatuwezi kuendesha serikali na maamuzi kila siku kwa kuomba maoni ya kila maamuzi subirini chaguzi anayeshinda anaunda serikali na kufanya maamuzi.
 
Achambue ibara za makubaliano.Ushirikiano udiotaja ukomo maana yake Nini? Nikisema ni ushirikano wa milele nimekosea wapi?Miradi kuendeshwa Kwa Sheria za Uingereza na za Tanzania haina shida? Tanzania ni dola lenye mamlaka kamili,je,Dubai ni dola kamili?
 
IBARA 4(2) Kwamba serikali inapopata mwekezaji eneo lingine sharti iende Dubai kuiomba DPW ili iridhie, hiyo imekaaje sawa? Kwamba Taifa la Tanzania liwe linaomba ridhaa kwa Waarabu, utafikiri ni nchi yao, bado mwanasheria anaona sawa tu?
 
Wewe kweli kichwani zimo? IBARA 8 ya mkataba inampa haki DPW haki ya kumiliki ardhi maeneo ya bandari iwapo Kuna wakazi waondolewe bila fidia, wewe yote kwako ni sawa? Tena hakuna ukomo wa muda, wewe kwako ni sawa tu?
 
Wewe kweli kichwani zimo? IBARA 8 ya mkataba inampa haki DPW haki ya kumiliki ardhi maeneo ya bandari iwapo Kuna wakazi waondolewe bila fidia, wewe yote kwako ni sawa? Tena hakuna ukomo wa muda, wewe kwako ni sawa tu?
Hebu acha porojo za ku copy na kupaste wewe unadhani mimi ni mjinga kiasi hicho? nchi ina sheria zake hata wewe unaweza kuvunjiwa bila fidia kama umevamia eneo nje ya sheria unafidiwa kama umejenga kihalali maendeleo yamekufuata wewe sasa ni wapi wameandika hakuna kikomo? au unadandia kauli za hawa wanasiasa wenye kupinga kila kitu. Kuna mkataba gani duniani hauna muda labda useme wananunua hata ukinunua Tz ni lease tu. acheni kupotosha watu mbona mkataba wa LNG moja ya investment kubwa kuwahi kutokea Tz hakuna mtu ana ujadili.
 
1. Hakuna mkataba kuna nini?
2. Kwa hiyo hata mimi ninaruhusiwa kuusaini?
3. Mamjo mengine tumuachi mola ataamua ugomvi mwenyewe na wapiga kura 2025
Ohoooooo, unadhani CCM wanategemea sanduku la kura? Sanduku lao la kura ni TISS na jeshi la Polisi.
 
Kwa hiyo Wewe ni mwanasheria? Tueleze Sasa kwa Nini Mwanasheria mkuu kaibuka mafichoni baada ya makelele, alikuwa wapi Mwanasheria mwenzio? Tueleze pia IBARA 4(2) inayoitaka serikali ya Tanzania kama itapata Mwekezaji mwingine iende Dubai kuiomba DPW ili iridhie, sisi ni watumwa wa Dubai mpaka tujidhalilishe kuomba?
 
Kwenye kesi ya Mbowe ya kubambikiwa ingekuwa ni mahakama huru tusingeona ule ushahidi wa kipuuzi wa serikali. Na hata jana Rostam Kalori kuwa mahakama zetu zinaagizwa kufanya mambo nje ya ushahidi. Samia ana huruma kwenye kesi za kubambikiwa? Huyo Magufuli unayemsifia kwetu ni mlevi wa madaraka kama walevi wengine. Ni mtu mjinga tu anaweza kusifia. matumizi mabaya ya madaraka.
 
Tazama upande chanya wa mkataba. Wanatoa mafunzo ya masuala ya bandari kwa wanafunzi wetu pale DMI pia wanakuja na mifumo ya kisasa ya upakuaji na upakiaji wa mizigo.

Hiyo ni IGA ni makubaliano ya jumla yaliyopita bungeni, huku kwenye mikataba ya kibiashara HGA wala haina nguvu yoyote kumbuka biashara hawatafanya bila ya kwanza kusajiliwa BRELA.
 
Wewe kweli kichwani zimo? IBARA 8 ya mkataba inampa haki DPW haki ya kumiliki ardhi maeneo ya bandari iwapo Kuna wakazi waondolewe bila fidia, wewe yote kwako ni sawa? Tena hakuna ukomo wa muda, wewe kwako ni sawa tu?
Mnapotoshwa na kina Mwabukusi na nyinyi mnaingia chaka mazima.
 
Mkataba uliingiwa na ushahidi huu hapa👇
Your browser is not able to display this video.
 
Ondoa ujinga wako huo mnalishwa matango pori huko na unakuja na vi IBARA huko mnadanganyana unadhani serikalini kuna wehu huko. weka hicho kifungu nikutafsirie na kwanini usiweke hizo signature walio sign huo mkataba mnaambiwa bado mkataba nyinyi mmesharuka tunauza, kiti kinachouzwa si kina bei wekeni tumeuza bei gani?
 

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi ( PhD).
Soma hapa👇👇👇

Huu mkataba hauna hadhi ya intergovernmental yani IGA kwa sababu Dubai siyo nchi bali ni serikali ya mkoa kama serikali ya mkoa wa Simiyu.


Kama hutaelewa utakuwa umetumwa.
 

Attachments

  • 812FA4B3-C6BB-457F-83FD-467411BBCB99.jpeg
    75.7 KB · Views: 3
Upuuzi mtupu.
Ngoja nikukumbushe, kama hukumbuki mwenyewe kuhusu hili jambo:
Hebu rudi nyuma tokea ujiunge humu JF, Aug. 2 2016 usome yoooote uliyokwishachangia humu jukwaani. Hapo utaona jibu sahihi kuhusu uwezo wako wa kifikra.

Nadhani hili linatosha kukupa maelezo kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…