Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

Nasema hivi, kama ulikuwa unaongea kwa kejeli kutaka kuonyesha ikulu yetu ni sehemu ya maana sana basi sisi tunaiona ni takataka tu. Kuna ikulu zinaweza kukupa jeuri ya kuongea, sio huo ukhanithi.
 
Nasema hivi, kama ulikuwa unaongea kwa kejeli kutaka kuonyesha ikulu yetu ni sehemu ya maana sana basi sisi tunaiona ni takataka tu. Kuna ikulu zinaweza kukupa jeuri ya kuongea, sio huo ukhanithi.
peleka upumbavu wako huko kwa hao LGBQ jinga wewe... Ikulu ya maana.... pumbavu
 
Wewe kweli kichwani zimo? IBARA 8 ya mkataba inampa haki DPW haki ya kumiliki ardhi maeneo ya bandari iwapo Kuna wakazi waondolewe bila fidia, wewe yote kwako ni sawa? Tena hakuna ukomo wa muda, wewe kwako ni sawa tu?
 
Sasa wewe mkuu unaongea kama nani na kwa niaba ya nani?
 
hana lolote

ndio wale wale hawezi kutofautiana na Bunge wala Serikali

binafsi naona kaja na mipasho tu kama mipasho iliyopita na hajatolea ufafanuzi wa jambo lolote
 
peleka upumbavu wako huko kwa hao LGBQ jinga wewe... Ikulu ya maana.... pumbavu
Ni ya maana kwako kwakuwa ww ni peasant. Hivyo unashoboka kwa kuona kama ni sehemu ya maana sana. Ngirijike ww.
 
Nenda kokote hakuna kama tz? Huu ni ujinga ama?

Kila mtanzania ndoto yake ni kupata nafasi ya kuishi Western. Hata hao viongozi wako huoni kila Mara wanaenda huko kuomba omba misaada
 
 

Attachments

  • 699E8F7F-DC83-440D-A3EF-C5A63BC13C05.jpeg
    58.4 KB · Views: 2
  • 63515E84-716F-4C2A-95D9-E4671D0D55B9.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • 884AF16D-6B39-486E-A7ED-C36FE1FB35BB.jpeg
    55.5 KB · Views: 1
  • EF715A16-26CF-4972-8586-A46C854459A5.jpeg
    71.8 KB · Views: 2
Acha kutusi watu wewe, kumrelease mbowe haiwezi kuwa excuse ya kugawa rasilimali zetu na kumfumba kinywa chake asinene ipasavyo!
 
Nenda kokote hakuna kama tz? Huu ni ujinga ama?

Kila mtanzania ndoto yake ni kupata nafasi ya kuishi Western. Hata hao viongozi wako huoni kila Mara wanaenda huko kuomba omba misaada
Wewe bwana unafurahisha eti kila mtu dream kuishi western unadhani watu humu mbumbu hatujui maisha ya huko, wala sina haja ya kuandika nimekuwa wapi na najuwa maisha ya huko maana sio muhimu lakini nakwambia Tz ni nchi moja nzuri sana fanya kazi tafuta maisha utaishi kama mfalme wala usipate hasira bahati mbaya huko western ni wale kwa bahati mbaya wamekosa fursa wanaenda kupiga kazi kuja kujiweka vizuri hapa na hilo wala sio kosa ila naongea kwa kujiamini kabisa Tanzania ni nchi nzuri sana tena sana hakuna stress...love Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…