Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

option.b
 

Attachments

  • sUFff0Vh_400x400.jpg
    23.9 KB · Views: 4
"Mtu anasema mkataba ni wa miaka 100 na hiyo ilikuja hata kabla Bunge halijaazimia. Wengine wanasema ni mkataba wa maisha. Unatafuta hicho kipengele cha maisha unapekua kifungu kimoja mpaka mwisho, hakuna," alisema Feleshi.
Unajua hawa wanakuza mambo. Kama mwanasheria anatakiwa afafanue kile kipengere cha 23(4) kina maana gani?

Hivi Kuna ugumu gani katika hili. Dunia Ina kwenda kasi tunataka bandari yetu nayo iende kwa kasi hiyo hiyo lakini watanzania wote tukiwa tunaunga Mkono suala hili bila kunung'unika.
 
1. Hakuna mkataba kuna nini?
2. Kwa hiyo hata mimi ninaruhusiwa kuusaini?
3. Mamjo mengine tumuachi mola ataamua ugomvi mwenyewe na wapiga kura 2025
Kama siyo mkataba mama - Bunge lilikuwa linajadili nini? Hapa Viongozi wameamua kucheza na misamiati ili wanyamazishe huu mjadala. Hivi wasomi wote wanaochambua na kutuelewesha sisi wananchi wa kawaida ni "wapotoshaji" au wanaeleza mapungufu yaliyomo kwenye mkataba. Aliyewatukana watanzania wote wenye mtazamo tofauti na Viongozi waliosaini huu mkataba kwa kuwaita "Wapotoshaji" anastasia atizamwe kwa mapana. Badala ya kujadili mapungufu yaliyomo kwenye makubaliano wamekimbilia kwenye matusi mepesi.
 
Imebid atoke tu hakuna namna 🤣🤣🤣!! Ila itajulikana tu hapa mbele tuendapo!!
 
ni bora ujifariji maana gaidi na mnyasa Mbowe kapewa za uso
Ukijitoa fahamu, uwe uwe unabakia za kuvukia barabara.

Umesahau kuwa Majaliwa (waziri mkuu), Alisema Dpw wamepewa Bandari kwa sababu utendaji wa Ticts ulikuwa mbovu,,

Sasa hapo nani kapewa za Uso, ni Mbowe au PM,,!?
Kabla ya kushangilia Tafakari,,!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hapa tunaongelea alichosema Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya upotoshaji wa Gaidi na Mnyasa.MMalawi Mbowe
 
naongea na mtu mwenye upeo mdogo sana..kwa hiyo chadema haipo?. mbowe anayewatoa jasho mpaka mnaweweseka nyie wapemba ,kaacha siasa?
Mbowe yule aliyetolewa jela na akaambiwa badilisha suit uje ikulu kwa chai na picha na ushukuru au Mbowe mwingine? Mimi sikuiti majina sijui mchaga sijui msukuma wala Mpemba maana ndio hoja yako kubwa na chuki imejikita kwa Mpemba ni wazi hilo ndio linakusumbua sana lakini nikupe pole. Huyo Mpemba unayemtukana ndiye alimtoa maskini yule ambaye hata nyinyi wafuasi kuandamana tu kumsaidia mlishindwa leo ndio tumuogope Mbowe? Ila Mbowe smart kajuwa kuyakusanya majinga kwa miaka 20 na anapiga pesa tu mtu pekee hataweza kumsahahu ni JPM yule hakuwa na huruma....
 
naongea na mtu mwenye upeo mdogo sana..kwa hiyo chadema haipo?. mbowe anayewatoa jasho mpaka mnaweweseka nyie wapemba ,kaacha siasa?
Chadema ipo kama kile chama cha TLP nadhani milipewa mbunge mmoja tu na 19 bonus japo hamuwataki. Chama kinakimbizwa na wabunge wanawake 19 tu wakuteuliwa....
 
Hii ni bandari ya watanganyika na kama kuuzwa basi itakuzwa na watanganyika wenyewe.
 
Kawekwa kwapani

Alikuwa wapi siku zote
 
Huyu kweli alijifunza vizuri sana kwa mjomba wake,Mzee Chenge.
 
Chadema ipo kama kile chama cha TLP nadhani milipewa mbunge mmoja tu na 19 bonus japo hamuwataki. Chama kinakimbizwa na wabunge wanawake 19 tu wakuteuliwa....
ccm ana wabunge kibao ila kufanya mkutano mmoja wa siasa mpaka kila mtu apate buku tano ndio kidogo mkutano unakuwa na viwatu watu, chadema hata mia hatoi ila nyomi kama dunia.,sasa chama gani kimekufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…