Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

Thubutuuu hana hizo guts hapo anatetea uteuzi tu
 
Hiyo IGA ni makubaliano yaliyotiwa saini, sasa saini ya nini katika makubaliano yasiyo na nguvu kisheria? Unaweka saini kwa lengo gani?

View attachment 2669707
Unambishia Hadi mwanasheria mkuu!!?..mna matatizo
Si umeambiwa hakuna mkataba ulosainiwa!!..Sasa akuoneshe nini!?
 
si
 
Kwani Mbowe alibambikiwa kesi kipindi cha dhalimu, au ni kipindi cha mama wa kambo?
 
Mahakama ndiyo sehemu sahihi; wameshaenda tayari wataeewana huko
Mahakama hizi ambazo wawekezaji hawazitumii nazo ni mahakama au majengo ya mahakama yaliyo chini ya Makada wa ccm?
 
Hakika Wajinga ndio waliwao kwamba IGA ni mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kuboresha bandari, siyo wa utekelezaji, ambao hauna nguvu za kisheria isipokuwa pale mikataba ya utekelezaji (HGAs) itakapoandaliwa na kutekelezwa.

Kama sababu kuu ndiyo hiyo, ya Falme ya Dubai kushirikiana na Tanzania, kuendesha na kuboresha bandari, kwa kutumia DPW, kampuni yao, kwa nini inatakiwa kutafuta fedha ya uwekezaji (Ibara ya 4:4,5) na siyo kupewa na nchi yao? Kusudio hilo hakika ni nje ya huo ushirikiano kwani DPW, kampuni ya kibiashara, haihitaji kubebwa na nchi yao kuwekeza popote duniani. Na naamini kule ilikowekeza nchi hizo hazina mikataba ya ushirikiano (IGA) na Dubai.
 
Jibuni hoja, kwa makubaliano yasio na nguvu ya kisheria, mnaweka saini ili iweje?
Ndiyo maana tangu mwanzo nilitaka u-google, sababu kufanya mjadala na wewe huwa shida,mgumu kuelewa au huwa una misimamo yako,unakua na majini yako mfukoni
 
Kupata baraka kwenye haya makabrasha?

Tena watakuwa wamewadharau sana wabunge na wananchi.

Hii ndio Dr Tulia alipelekewa???

Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Tunaheshimu Phd yako usiteteebhaya mskabrasha. Utaaibika.
Hawa ndio wanasababisha Phd za bongo kuonekana ni takataka tu.
 
Ndiyo maana tangu mwanzo nilitaka u-google, sababu kufanya mjadala na wewe huwa shida,mgumu kuelewa au huwa una misimamo yako,unakua na majini yako mfukoni
Niligoogle na kutoona tofauti, kikubwa nilikuta zote ni legally binding, tofauti na ulivyodanganya kwamba si legally binding..., sasa utumbie tofauti ni ipi?
 
Huyo ni mwanasheria wa ccm... kaongea utumbo mtupu...nchi hii ina wapumbavu wengi sana aisee alafu wanajiita wasomi
 
Dada yake lucas mwashambwa una matatizo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…