Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #41
Wanawake wanafosi usawa kwenye kila kitu😃
Ila kiuhalisia hakunaga usawa kwenye mapenzi au mahusiano au ndoa
Ukisikia mtu anaongelea "wanaume ni..." au "qanawake ni..." bila ya kuwa very finely granulated in biological terms, ambazo hata hizo nazo bado zina utata mwingi, mara nyingi mwisho wake ni kufanya hasty generalization logical fallacy.
Wanaume wote hawako sawa. Kuna wanaume mpaka walio "gender fluid" wanao challenge definition ya uanaume.
Sasa hapo utawezaje kusema kirahisi rahisi tu "wanaume ni..."?
Yani hata ukienda kwa hormones ukasema wanaume hawana estrogen utakuta kuna wanaume wana estrogen.
Ukisema wanaume hawana matiti utakuta kuna wanaume wana matiti.
Yani hata ukisema uanaume ni kuwa na mshedede, kuna wanaume hawana mshedede wana condition inaitqa aphalia.
Congenital absence of the penis (aphallia): A rare case report - PubMed
In consideration of the rarity and devastating psychosocial consequences of this case, we accordingly call for active cooperation with doctors to minimize the negative impact of this malformation. Early assignment of gender avoids confusion and contradiction. Parental confidence solidifies the...pubmed.ncbi.nlm.nih.gov
Sawa nini?Sawa wewe una maoni gani kuhusu mada husika?
Kwenye ishu nzima ya mapenzi furaha na karaha zote bado goli imeinamia upande wa wanawake, tunawafunga nyingi sana.Umesema vyema In short hapendwi. Anatumika
Chezea vitu vya mwanaume lakini sio mke wake anayempenda
Sikupingimwanaume kumsamehe mwanamke msaliti hakuna tofauti na wewe mwanaume kulawitiwa alafu jamii ikajua kuwa umelawitiwa.
😄😄😄Imagine na ilipotokea mashine kutoka nje akairudisha Kwa ndani
Mi kumsamehe anaecheat hadi nizae na mwanamke MwingineKuna kitu nimejifunza kutoka kwa wanaume simps au waoga kuwapiga chini wanawake wasaliti
Ukishamsaheme mwanamke msaliti mara ya kwanza tu ulipomgundua umeshajiroga
Basi ujue utakosa ujasiri wa kumpiga chini akikusaliti tena. Wanaishia kununanuna wakipewa mbususu na good sex wanapotezea
Wanaume wa aina hiyo hujikuta wanasamehe tu demu anacheat tena wamasemehe tena
Dawa ni kufanya maamuzi mara ya kwanza ukishagundua amekusaliti. Na kwa wanaume waoga niwashauri usimpe nafasi ya kuongea mwanamke msaliti
Kuna mijuha inafumania kabisa ikisalitiwa na inaomba msamaha yenyewe.
Kwa nini?Mi kumsamehe anaecheat hadi nizae na mwanamke Mwingine
Na kama ni bahati mbaya kwanini ilipochomoka aliirudisha quman kwa mwendo wa ngiri mkia juuUkweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, huwa tunadhani tunaweza lakini hatuwezi.
Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume
KUNDI LA KWANZA
Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe msamaha sisi ni moja kwa moja tunapiga chini. Hatukupi muda hata wa kuzungumza.
KUNDI LA PILI
Hili ni kundi ambalo atajifanya kukusamehe lakini lazima kuna punishment utaipata mbele ya safari. Mojawapo ni kutoaminiwa. Kutakuwa na trust issues. Kwa mfano ukichelewa tu lazima atakumbushia, kwenye matumizi ya simu lazima atakufuatilia sana n.k Kidume anakuwa yupoyupo tu upendo sio kama zamani, hakuna msamaha hapo.
Kutokuaminiwa kwenye mahusiano huwa kunaondoa hisia za mahaba na upendo sana kwa mwanamke. Badala ya kufurahia ndoa utakuwa unavumilia ndoa. Shida yote ya nini kusanya virago ondoka.
Kwenye hili kundi kuna wale ambao wanawasamehe wake zao kwa ajili tu ya malezi ya watoto. Usijidanganye kuwa ni wewe umesamehewa, hapo mwanaume anachofikiria ni watoto tu sio wewe msaliti.
KUNDI LA TATU
Hawa ni wanaume ambao anakuacha muendelee kwa sababu akutumie tu hasa kwa sex na akipata option ya mwanamke mwingine utaona tu unaachwa anafanya hivyo ili kulipiza kisasi au kama punishment.
Hapa nitawapa mfano; kuna demu alinipa stori walikuwa kwenye serious relationship penzi motomoto akamcheat jamaa yake akajua. Jamaa akafanya kama amemsamehe aendelee tu kumla, siku ya siku miezi imeenda alisikia jamaa anafunga ndoa, siku 3 alijifungia ndani analia. Angefanya maamuzi mapema hii trauma isingemkuta.Binti unaingia kwenye serious relationship unacheat unaachwa unarudia tena kosa hilohilo kwa mwanaume mwingine na mwingine unaachwa. Unafikiri umri unakusubiri tukutane 30s.
Kila mwanamke msaliti akiulizwa ilikuwaje ukamsaliti mpenzi wako? Utamsikia anasema ilikuwa bahati mbaya. Sasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?
Learn
Watoto ni mali ya serikali watakua tuPiga chini mwanamke au mke msaliti bila kujali mmezaa au lah
Anakutumia kimaslahi tu hana upendo na weweMie tunafumana tunanuniana tunarudiana
We hauna ndoa single mamaKUACHANA MWISHO CHALINZE
Mjini wote tunashare tu
Umesema vyemaPiga chini mwanamke au mke msaliti bila kujali mmezaa au lah
Mshkaji kwanini unajifanya demu?Mie tunafumana tunanuniana tunarudiana