Mwanaume akikukamata umemcheat bora uachane naye tu. Wanaume huwa hatujui kusamehe mwanamke msaliti. Usijidanganye!

Mwanaume akikukamata umemcheat bora uachane naye tu. Wanaume huwa hatujui kusamehe mwanamke msaliti. Usijidanganye!

Wanawake wanafosi usawa kwenye kila kitu😃
Ila kiuhalisia hakunaga usawa kwenye mapenzi au mahusiano au ndoa
Eti utamsikia mwanamke anasema analipiza kisasi kisa mume wake kamsaliti

Anadhani anamkomoa mwanaume

Mwisho wa siku ni yeye na mbususu yake ndiye wanaojikomoa.

Mwanamke akicheat anaitwa malaya wanaume wanajipigia wanasepa. Unabaki unajiuliza kamuadhibu mwanaume au yeye ndio kajiadhibu
 
Ukisikia mtu anaongelea "wanaume ni..." au "qanawake ni..." bila ya kuwa very finely granulated in biological terms, ambazo hata hizo nazo bado zina utata mwingi, mara nyingi mwisho wake ni kufanya hasty generalization logical fallacy.

Wanaume wote hawako sawa. Kuna wanaume mpaka walio "gender fluid" wanao challenge definition ya uanaume.

Sasa hapo utawezaje kusema kirahisi rahisi tu "wanaume ni..."?

Yani hata ukienda kwa hormones ukasema wanaume hawana estrogen utakuta kuna wanaume wana estrogen.

Ukisema wanaume hawana matiti utakuta kuna wanaume wana matiti.

Yani hata ukisema uanaume ni kuwa na mshedede, kuna wanaume hawana mshedede wana condition inaitqa aphalia.

Sawa wewe una maoni gani kuhusu mada husika?
 
Mwanamke akikusaliti maana yake hakupendi tena na moyoni mwake amekutoa, hivyo mwanaume kumsamehe mwanamke msaliti hakuna tofauti na wewe mwanaume kulawitiwa alafu jamii ikajua kuwa umelawitiwa.

Mwanaume mwezako anapo mwingilia mwanamke /mke wako aliyekusaliti maana yake anakuingilia wewe mume wake kinyume na maumbile na huku mkeo anajua wazi.

Nb. Mwanamke msaliti hasamehewi haijalishi utachomwa na moto wa milele kwa kutokusamehe ila hakika usisamehe mwanamke msaliti . Unaposalitiwa na mwanamke maana yake umelawitiwa kwa kihuni wanasema ( #wafiku) wewe mwanaume.
 
Sawa wewe una maoni gani kuhusu mada husika?
Sawa nini?

Umeelewa nilichoandika?

Mwanamme ni nani kwanza? Anza kwa ku define hilo. With exactitude.

Usitumie uzoefu wa kuona watu wa kijijini kwako waliovaa suruali tu kuwa ni wanaume.
 
Kuna kitu nimejifunza kutoka kwa wanaume simps au waoga kuwapiga chini wanawake wasaliti

Ukishamsaheme mwanamke msaliti mara ya kwanza tu ulipomgundua umeshajiroga

Basi ujue utakosa ujasiri wa kumpiga chini akikusaliti tena. Wanaishia kununanuna wakipewa mbususu na good sex wanapotezea

Wanaume wa aina hiyo hujikuta wanasamehe tu demu anacheat tena wamasemehe tena

Dawa ni kufanya maamuzi mara ya kwanza ukishagundua amekusaliti. Na kwa wanaume waoga niwashauri usimpe nafasi ya kuongea mwanamke msaliti
Mi kumsamehe anaecheat hadi nizae na mwanamke Mwingine
 
Ukweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, huwa tunadhani tunaweza lakini hatuwezi.

Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume

KUNDI LA KWANZA
Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe msamaha sisi ni moja kwa moja tunapiga chini. Hatukupi muda hata wa kuzungumza.

KUNDI LA PILI
Hili ni kundi ambalo atajifanya kukusamehe lakini lazima kuna punishment utaipata mbele ya safari. Mojawapo ni kutoaminiwa. Kutakuwa na trust issues. Kwa mfano ukichelewa tu lazima atakumbushia, kwenye matumizi ya simu lazima atakufuatilia sana n.k Kidume anakuwa yupoyupo tu upendo sio kama zamani, hakuna msamaha hapo.

Kutokuaminiwa kwenye mahusiano huwa kunaondoa hisia za mahaba na upendo sana kwa mwanamke. Badala ya kufurahia ndoa utakuwa unavumilia ndoa. Shida yote ya nini kusanya virago ondoka.
  • Kwenye hili kundi kuna wale ambao wanawasamehe wake zao kwa ajili tu ya malezi ya watoto. Usijidanganye kuwa ni wewe umesamehewa, hapo mwanaume anachofikiria ni watoto tu sio wewe msaliti.

KUNDI LA TATU
Hawa ni wanaume ambao anakuacha muendelee kwa sababu akutumie tu hasa kwa sex na akipata option ya mwanamke mwingine utaona tu unaachwa anafanya hivyo ili kulipiza kisasi au kama punishment.

  • Hapa nitawapa mfano; kuna demu alinipa stori walikuwa kwenye serious relationship penzi motomoto akamcheat jamaa yake akajua. Jamaa akafanya kama amemsamehe aendelee tu kumla, siku ya siku miezi imeenda alisikia jamaa anafunga ndoa, siku 3 alijifungia ndani analia. Angefanya maamuzi mapema hii trauma isingemkuta.
Binti unaingia kwenye serious relationship unacheat unaachwa unarudia tena kosa hilohilo kwa mwanaume mwingine na mwingine unaachwa. Unafikiri umri unakusubiri tukutane 30s.

Kila mwanamke msaliti akiulizwa ilikuwaje ukamsaliti mpenzi wako? Utamsikia anasema ilikuwa bahati mbaya. Sasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?

Learn
Na kama ni bahati mbaya kwanini ilipochomoka aliirudisha quman kwa mwendo wa ngiri mkia juu
 
Wanawake Mungu awabariki Sana....Sisi ukichear ni Sawa kwenda kulv makombo...
Piga tukio moja takatifu na hato kuja..
 
Back
Top Bottom