Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Tena wazijue size zao kweli kweli!

Mimi wa kwangu nimempa bure mapenzi miaka na miaka sababu nilijua atakuwa wangu, kitu ambacho kweli kilitokea, now mimi ni muhasibu wake! How about that 😜

Honestly: mtu hana mpango wowote na wewe, ana demu wake, au mke wake, hajakuonesha kama anakupenda, yupo kimitego mitego mguu ndani mguu nje, ana siri kama zote halafu umpe mapenzi bure! Aaaiii subutu sio kweli! Wao wanaume wangekuwa sisi wangetoa K bure??

Kauli mbiu, haiuzwi lakini haitolewi bure.
 
Nyie mna mindset kama sie wanaume tuna shida saaana na 'k' wakati utamu mnapata wote. Jinsia zote wana uhitaji wa sex.

Kwanza mdau wetu Musk ameliona hilo na anatuletea tesla bot tutawatumia kama sex partner, hakuna UTI wala mimba na STD za ajabu.
Ombeni sana Mungu.
 
Natamanigi ingekuwa Vice-Versa, utamu maradufu uwe kwenye Mboro... ili nyinyi ndo muwe mnatuwinda sisi tukawakanyage mashine πŸ˜‹πŸ€€πŸ‘πŸΎ
 
Sijakuelewa.
 
Fresh sana, muhimu vigezo na masharti vifikiwe. Huwa uchakavu ni muhimu ila sio kutoa huduma...vijana wanatakiwa kujitambua sana, la sivyo watadhalilika badae. Kuhonga hakujawahi kumfaidisha mwanaume yoyote duniani.
Na tuliagree hili kwenye uzi mmoja wa mtibeli, kama sio ndoa basi biashara iwekwe mezani. Nadhani watu watajifunza kufunga zipu na kufanya kazi kwa bidii.

Ila wana wa farao wanataka wapewe bure bin bure katika ulimwengu huu ambao kila kitu kinalipiwa.

Anyways ni vile tu nishakuwa shangazi sipo huko tena πŸ˜…πŸ€“πŸ˜Ž
 
tuishi nao kwa akili.
 
Mishangazi ni my passion pia πŸ˜‹πŸ€€πŸ€©
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…