Ile scenario ndio ilinifanya nijue kiumbe mwanamke anaweza kufanya chochote kisichotegemewa. Tulibaki tunajiuliza labda kati ya wale washkaji wawili mmoja ni kaka yake. Lakini swali likawa anaweza kukumbatiana na kaka yake?Kwanzaa hao wenye gari wanakua wapenzi au danga tyuuh? Wapenzi ni wakaka was chuo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kitambo sana na ndio miaka hiyo yetu ilisemekana yule waziri alituma watu wachome moto gari aliyomnunulia mpenzi wake pale UDSM.Hivi kumbe UDSM uvushaji wa ndinga umeanza kitambooo uwiiiiih. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kawaida mbna, tena sahivi ndo wazi wazi kabisaa, UDSM sio mchezo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile scenario ndio ilinifanya nijue kiumbe mwanamke anaweza kufanya chochote kisichotegemewa. Tulibaki tunajiuliza labda kati ya wale washkaji wawili mmoja ni kaka yake. Lakini swali likawa anaweza kukumbatiana na kaka yake?
Sio rahisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwa tena khaah. Ila UDSM sahivi ndo imeharibika, jinsi ndinga zinavobeba Dent, uwiiiiih hasa hapo Magu hostel woiiiiiiiiih.Kitambo sana na ndio miaka hiyo yetu ilisemekana yule waziri alituma watu wachome moto gari aliyomnunulia mpenzi wake pale UDSM.
Nimemiss UDSM kwa kweli pamenifunza mengi kuna watu wana tabia za kila namna.Hiyo ni kawaida mbna, tena sahivi ndo wazi wazi kabisaa, UDSM sio mchezo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengine ndo tunamalizia tusepe zetu. Muda was kuwa hapa uko ktk dakika za majeruhi,Nimemiss UDSM kwa kweli pamenifunza mengi kuna watu wana tabia za kila namna.
Almost 12 years now
Hivi yale mapori Magu hostel watoto hawapigani miti kweli?Hiyo ni kawaida mbna, tena sahivi ndo wazi wazi kabisaa, UDSM sio mchezo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nilipita last week nikaona baadhi ya wadada wanatoka na mabegi hapo Magufuli hostel. UE ndio imeisha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengine ndo tunamalizia tusepe zetu. Muda was kuwa hapa uko ktk dakika za majeruhi,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Likizo imeanza yes, [emoji23][emoji23][emoji23]Nilipita last week nikaona baadhi ya wadada wanatoka na mabegi hapo Magufuli hostel. UE ndio imeisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli sina hakika na hilo. UwiiiiihHivi yale mapori Magu hostel watoto hawapigani miti kweli?
Karibu mtaani kaka yako niko Goba kwa sasa a.k.a New SinzaLikizo imeanza yes, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Namm ntakubeba ww si ndio jamani?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwa tena khaah. Ila UDSM sahivi ndo imeharibika, jinsi ndinga zinavobeba Dent, uwiiiiih hasa hapo Magu hostel woiiiiiiiiih.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Last semester?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengine ndo tunamalizia tusepe zetu. Muda was kuwa hapa uko ktk dakika za majeruhi,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mmmmh likizo imeanza? Lini jaman?Likizo imeanza yes, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Eeeeh ndyooo hebu fanya bas, tena mie najua kuendesha ko mafuta ntakanyaga mwenyewe, natembelea Rim tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmmh likizo imeanza? Lini jaman?Likizo imeanza yes, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado bado kidogo.
Wee likizo imeshaanza khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsanteeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu mtaani kaka yako niko Goba kwa sasa a.k.a New Sinza
Heraaaa! Yaani waziri alikuwa anatoka na denti? Kwa nn alituma watu wachome moto gari? Huyo denti alikuwa anachukua masters, diploma au degree? Nina mashaka kabisa kuwa hakuwa binti, lilikua jimama fulani lililochelewa kuanza chuo, so likawa linajiendeleza. Trust!Kitambo sana na ndio miaka hiyo yetu ilisemekana yule waziri alituma watu wachome moto gari aliyomnunulia mpenzi wake pale UDSM.