mind ur business
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 416
- 415
Narudia, never trust watu wa makanisani au msikitini. Mzinzi kamwe hawezi kutatua suala la ndoa, sana sana watakushawishi usimwache mkeo ili uishi naye na mwisho wa siku wampige miti wao kwa jina la dini.Actually sikuifikisha huko kutatuliwa bali kuvunjwa sasa naona wamenigeuzia kibao.
Ndiyo kutuliza kichwa haa haaNi kweli sema ndo ivo utajuaje?
Mkuu, kwenye huu uzi sija comment ila nimemuelewa sana huyo padre! Suala la kupatana ndani ya ndoa ni lenu wawili, ukishindwa kupatana mkiwa wawili, mchango wakupatanishwa na kikao cha watu wa nje ya ndoa yenu ni mdogo sana!Pole sana ndoa inatakiwa kuvunjwa sabb wamethibitisha mke amekua akitoka nje ya ndoa sio kitu kirahisi kusema samehe muendelee kuishi
Padre wakati wa mafundisho ya ndoa aliniambia endapo utatoka nje ya ndoa yako na mumeo akajua na kupata uhakika nisiende kwake kutafuta suluhu sabb hana cha kumwambia huyo mwanaume anisamehe.Anasema amehudumu miaka 25 ila hajawahi kufanikiwa kurejesha ndoa ikawa imara ya mwanamke aliyetoka nje ya ndoa zaidi sana ukilazimisha wapatane baada ya siku chache utasikia mmoja wapo amekufa either kwa kuuliwa na mwenzie au kujiua
Hakika maamuzi ni yenu wawili.Akaongeza mumeo akikuletea watoto wa nje njoo hapa nna cha kukwambia utamsamehe na mtazeeka pamoja na mtakuja kanisani mmeshikana mikono kama hakuna lilitokea.Mkuu, kwenye huu uzi sija comment ila nimemuelewa sana huyo padre! Suala la kupatana ndani ya ndoa ni lenu wawili, ukishindwa kupatana mkiwa wawili, mchango wakupatanishwa na kikao cha watu wa nje ya ndoa yenu ni mdogo sana!
Safi sana, huyo padre inaonekana ni mkweli sana!Hakika maamuzi ni yenu wawili.Akaongeza mumeo akikuletea watoto wa nje njoo hapa nna cha kukwambia utamsamehe na mtazeeka pamoja na mtakuja kanisani mmeshikana mikono kama hakuna lilitokea.
Mungu alitofautMimi hakuna mpumbavu yeyote awaye mwenye uwezo wa kunizuia kuoa idadi ya wanawake au kuwaacha na kuoa tena, binadamu anauzwa au kuthaminishwa na vitu hana tofauti na mbuzi, kuku etc, butua butua tu. Women are just consumables consume consume until marginal utility.
Hukuoa mke umeoa shida sie wake za watu bado tunahema nawanaume zetu na chama chetu cha wachagaa bakia wewe kuoa mabarmaids tu ukimaliza tz nenda kenya .Pole unaonekana na wewe uliachwa kwa tabia kama za aliyekua mke wangu
huna ushauri?Pole kwa yaliyokukuta.
Hilo nalo neno, tunaweza kuwa tunamtukana mke, kumbe huko ndani tia maji tia maji, wanawake wanavumila sana hayo mamboMke amekomaa na hawara tu? Labda hupigi kazi vizuri jomba, tatizo liko hapo.
Kitendo cha mwanamke wake kung'ang'ana na hawara kila wakati, kuna jambo hapo. Ndoa ni kama TAALUMA nyinginezo, WELEDI ni muhimu sana.Hilo nalo neno, tunaweza kuwa tunamtukana mke, kumbe huko ndani tia maji tia maji, wanawake wanavumila sana hayo mambo
Kuishi mke/mme ni taaluma kubwa asikwambie mtu, huende huyo mkuu hanaga muda wakukaa na mkewe akijaza vyakula ndani basi kamaliza sasa mchepuko unapata nafasi ya kum care mkewe ha ha ha!Kitendo cha mwanamke wake kung'ang'ana na hawara kila wakati, kuna jambo hapo. Ndoa ni kama TAALUMA nyinginezo, WELEDI ni muhimu sana.
Sisi watu wazima tumekuelewa vzr sana mkuuKuna falsafa moja huwa naikubali sana! " Ukishapata mchumba kabla hujamuoa,kwanza muoe mama yake" hapo umemaliza kila kitu.Kitakachoendelea ni wewe mwenyewe kusuka au kunyoa.
Kwa tabia hii make wangu ni bora kuliko wewe.... Alafu wachaga atupo na attitudes ka zakoMungu alitofaut
Hukuoa mke umeoa shida sie wake za watu bado tunahema nawanaume zetu na chama chetu cha wachagaa bakia wewe kuoa mabarmaids tu ukimaliza tz nenda kenya .
Ila utachonga sana mimi nimekuwa sina muda na shida zako.
Pambana na hali zako acha nuksi
AminaMkuu pole sana kwa majanga ya usaliti wa ndo yaliyokupata. Inaumiza sana. Lqkini hilo swwla la uasherati ndani ya ndoa na namna ya kudeal nalo limeelezewa vzr sana kwenye Biblia. Nadhani kwa wakristo, Biblia ndio muamuzi wa mwisho na sio kitu kingine. Hebu tuone biblia inaswmaje kuhusu uzinzi kwa wanandoa.
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Mt 19:9 SUV
Mt 19:9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini. | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Download The Bible App Now
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.bible.com
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Mt 5:31-32 SUV
Mt 5:31-32 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azin | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitway
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azinbible.com
Imesisitizwa tena mara mbili kwenye kitabu cha Mathayo, na Yesu mwenyewe kwamba, hairuhusiwi kumuacha mwenzako wa ndoa, kwa namna yeyote isipokuwa kwa UASHERATI...
Pole sana kwa majanga, Mungu qkuongoze kwenye kufanya maamuzi sahihi.