Atakae muoa atajuta..ni pasua kichwa
Hajielewi kama anastahir kuolewa,
Ukiwa nae anataka awe pia na mawasiliano na x wake na maboy wa kutosha.
Ukimpata huyo we kula na usepe..ukimbeba et uoe utajuta kudadek
Narudia, never trust watu wa makanisani au msikitini. Mzinzi kamwe hawezi kutatua suala la ndoa, sana sana watakushawishi usimwache mkeo ili uishi naye na mwisho wa siku wampige miti wao kwa jina la dini.
Pole sana ndoa inatakiwa kuvunjwa sabb wamethibitisha mke amekua akitoka nje ya ndoa sio kitu kirahisi kusema samehe muendelee kuishi
Padre wakati wa mafundisho ya ndoa aliniambia endapo utatoka nje ya ndoa yako na mumeo akajua na kupata uhakika nisiende kwake kutafuta suluhu sabb hana cha kumwambia huyo mwanaume anisamehe.Anasema amehudumu miaka 25 ila hajawahi kufanikiwa kurejesha ndoa ikawa imara ya mwanamke aliyetoka nje ya ndoa zaidi sana ukilazimisha wapatane baada ya siku chache utasikia mmoja wapo amekufa either kwa kuuliwa na mwenzie au kujiua
Mkuu, kwenye huu uzi sija comment ila nimemuelewa sana huyo padre! Suala la kupatana ndani ya ndoa ni lenu wawili, ukishindwa kupatana mkiwa wawili, mchango wakupatanishwa na kikao cha watu wa nje ya ndoa yenu ni mdogo sana!
Mkuu, kwenye huu uzi sija comment ila nimemuelewa sana huyo padre! Suala la kupatana ndani ya ndoa ni lenu wawili, ukishindwa kupatana mkiwa wawili, mchango wakupatanishwa na kikao cha watu wa nje ya ndoa yenu ni mdogo sana!
Hakika maamuzi ni yenu wawili.Akaongeza mumeo akikuletea watoto wa nje njoo hapa nna cha kukwambia utamsamehe na mtazeeka pamoja na mtakuja kanisani mmeshikana mikono kama hakuna lilitokea.
Hakika maamuzi ni yenu wawili.Akaongeza mumeo akikuletea watoto wa nje njoo hapa nna cha kukwambia utamsamehe na mtazeeka pamoja na mtakuja kanisani mmeshikana mikono kama hakuna lilitokea.
Mimi hakuna mpumbavu yeyote awaye mwenye uwezo wa kunizuia kuoa idadi ya wanawake au kuwaacha na kuoa tena, binadamu anauzwa au kuthaminishwa na vitu hana tofauti na mbuzi, kuku etc, butua butua tu. Women are just consumables consume consume until marginal utility.
Hukuoa mke umeoa shida sie wake za watu bado tunahema nawanaume zetu na chama chetu cha wachagaa bakia wewe kuoa mabarmaids tu ukimaliza tz nenda kenya .
Ila utachonga sana mimi nimekuwa sina muda na shida zako.
Pambana na hali zako acha nuksi
Kuishi mke/mme ni taaluma kubwa asikwambie mtu, huende huyo mkuu hanaga muda wakukaa na mkewe akijaza vyakula ndani basi kamaliza sasa mchepuko unapata nafasi ya kum care mkewe ha ha ha!
Mkuu pole sana kwa majanga ya usaliti wa ndo yaliyokupata. Inaumiza sana. Lqkini hilo swwla la uasherati ndani ya ndoa na namna ya kudeal nalo limeelezewa vzr sana kwenye Biblia. Nadhani kwa wakristo, Biblia ndio muamuzi wa mwisho na sio kitu kingine. Hebu tuone biblia inaswmaje kuhusu uzinzi kwa wanandoa.
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Mt 19:9 SUV
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
bible.com
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Mt 5:31-32 SUV
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azin
bible.com
Imesisitizwa tena mara mbili kwenye kitabu cha Mathayo, na Yesu mwenyewe kwamba, hairuhusiwi kumuacha mwenzako wa ndoa, kwa namna yeyote isipokuwa kwa UASHERATI...
Pole sana kwa majanga, Mungu qkuongoze kwenye kufanya maamuzi sahihi.
Kuna falsafa moja huwa naikubali sana! " Ukishapata mchumba kabla hujamuoa,kwanza muoe mama yake" hapo umemaliza kila kitu.Kitakachoendelea ni wewe mwenyewe kusuka au kunyoa.
Mungu alitofaut
Hukuoa mke umeoa shida sie wake za watu bado tunahema nawanaume zetu na chama chetu cha wachagaa bakia wewe kuoa mabarmaids tu ukimaliza tz nenda kenya .
Ila utachonga sana mimi nimekuwa sina muda na shida zako.
Pambana na hali zako acha nuksi
Mkuu pole sana kwa majanga ya usaliti wa ndo yaliyokupata. Inaumiza sana. Lqkini hilo swwla la uasherati ndani ya ndoa na namna ya kudeal nalo limeelezewa vzr sana kwenye Biblia. Nadhani kwa wakristo, Biblia ndio muamuzi wa mwisho na sio kitu kingine. Hebu tuone biblia inaswmaje kuhusu uzinzi kwa wanandoa.
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Mt 19:9 SUV
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
bible.com
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Mt 5:31-32 SUV
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azin
bible.com
Imesisitizwa tena mara mbili kwenye kitabu cha Mathayo, na Yesu mwenyewe kwamba, hairuhusiwi kumuacha mwenzako wa ndoa, kwa namna yeyote isipokuwa kwa UASHERATI...
Pole sana kwa majanga, Mungu qkuongoze kwenye kufanya maamuzi sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.