Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Ndio tunaowapenda hao, pesa haitaki usumbufuMkuu demu WA kumpa hela hapo hapo anakupa ku_ma huyo ni Malaya hata Kama ni milion ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tunaowapenda hao, pesa haitaki usumbufuMkuu demu WA kumpa hela hapo hapo anakupa ku_ma huyo ni Malaya hata Kama ni milion ,
Umenikumbusha huu wimbo African Stars Band Twanga Pepeta- Mtu PesaMtu mwenye pesa atakuwa na marafiki,
Mwenye pesa sio mwenzako.
Atapata kila kitu isipokuwa Amani.
Atajulikana kila mahali isipokuwa mbinguni.
Atarithi kila kitu isipo kuwa uzima wa milele.
Kilainishi cha kila kitu.Wanadhan hela ni kila kitu
Wachaaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sizitaki mbichi hizi afu wewe hakuna mwanaume mbaya aliye na pesa maana pesa yatakatisha kila aliye nayo.
Sana...Tamu kumbe 😁😁😁
Achana na uyo maskini ndio zao kijifariji tuUsiusemee moyo..we mwenyewe huyo ulienae angekua hana pesa usingemkubali
Kataa nikupe ushahidi
Hamkosagi kijifariji na umaskin...hata uyo mke ulienae siku ukiwa hola atakukimbia,😂😂😂😂Not only pesa. Na moyo ukukubali.
Moyo ukikataa, wewe na hela zako mtachacha.
Ad wake za watu?90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo.
Taarifa fupi ni hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinambieee!!!Ndiyo hivo ukiona kapauka huyo hana pesa bali ana vilaki 7 tu vya kutumia siku moja [emoji28][emoji28][emoji28]
Anatafuta kuwa highest reaction score Member amkimbize Numbisa na Shimba ya Buyenze.... ndio adhima yake. Wenzie wanamchango wa maana ye anajinadi kwa ujinga ...kweli vipaji ni vingi. Ana force umaarufu.🤣Yule mchawi ye34nbe mwenye maisha magumu kishapiga dislike za kutosha