Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ngoma imefikia pale kwenye kuzaa tu mtoto basi maana wanaume wa ndoa hakuna
Maisha ni ujinga sana
Maisha ni ujinga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uoga degree we umekua thermometer? Jitose una vingi vizuri kuliko degree
Akifikia awe na sperm tu nistue.Endelea kusikilizia bro usitoke hapa, unaweza bahatika mashart yamelegezwa hadi imekua "awe tu na sperm"
Mungu ampe mtoto kupitia uzinzi? Tena anataja hadi mume wa mtu? Tusimdhihaki Mungu.Dada Mungu akupe sawa sawa na mahitaji ya moyo wako ikiwezekana na kuzidi
But Makosa Yale Yale yaliyokufikisha 3rd floor bila mtoto wala mahusiano ya kueleweka ndyo unaendelea nayo , Tukutane 40 when life begin ....
Wewe Mnyakyusa nimecheka kifara sana hapa daah JF ina watu sana aisee...Zaa na uyu Lucas Mwashambwa ni MTU mzuri sana.tena mtazaa mnyiha mla panya na katoto kada ccccm
Acha aendelee na MachaguoDada Mungu akupe sawa sawa na mahitaji ya moyo wako ikiwezekana na kuzidi
But Makosa Yale Yale yaliyokufikisha 3rd floor bila mtoto wala mahusiano ya kueleweka ndyo unaendelea nayo , Tukutane 40 when life begin ....
Anataka mtoto .... Ambaye babake ni msomi 😂Nashangaa kama shida ni mtoto na hakuna attachment zingine, suala la degree linaingiaje kwenye vigezo?
Wow.Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Wanaume wote ambao hatujaoa tuishi hapa.
Kwani babe haujarefukaga tu? Vingine vinavumilika ila urefu🦧🦧Umri✅️
Elimu❌️
Urefu❌️
Rangi❌️
Mengineyo❌️
Babe mbona sikidhi vigezo🤣