Talaka inasaidia sana!ndoa ni huruma na mapenzi hvyo vikiisha ndo mtu anafanya mambo ya kutisha km hayo!kiukweli inasikitisha sana!Mauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.
Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.
Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha
Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?
Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Mjinga huyo Dada na hakumpenda mwanaume na wasukuma walivyo mazoba ktk kupenda,wamama wa kisukuma pia ni wakwe wazuri sana!Yaan ni ukatili wa hali ya juu mama wa mume ni sawa na mama mzazi kabisa kaka ilitakiwa mke ajishushe tu ampotezee na amjali maana watu wakizeeka ni wasumbufu unamchukulia kama mtoto tu
Sasa hapo mume hatompenda tena
Kaharibu maisha yake kwa hasira
Kwahiyo ulitaka mume amfukuze mama yake kisa mke wake hamtaki kisa mzee?Mume alishapewa onyo akalimezea. Naye anawajibika kwa mauaji haya kwa kiwango fulani.
Kwani tukio la juzi si kafanya mzungu pori ila kwakuwa limefanyika moshi wakalaumiwa wachagaAliye fanya tukio ni mnyakyusa
Eneo la tukio ndo Kanda ya ziwa.
Nkonyofu naloliMomuno tukubhakana ukweguighwa mmbujhanga. Kama aliona kukaa na mama mkwe shida kwann asilud kwao Sasa unaenda jera
Babu kizaa mwanamke upande wa baba yake ni mchaga mkuu. Mie nakaa nao hapa jirani mwanzaIngekuwa Moshi au ni wachaga! Wanafiki na wachochezi wangejazana humu mmk.
Kwaiyo angemfuka mama yake? Wewe ukipewa onyo kama hilo na mkeo utamfukuza mama yako?Mume alishapewa onyo akalimezea. Naye anawajibika kwa mauaji haya kwa kiwango fulani.
Aliyeua ni mnyakyusa. Siyo wa kanda ya ziwaAngekua mchaga kafanya hivyo story zingekua mingi?
Kanda ya ziwa mnasemaje?
Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo, ndoa ni za Serikali.Ndoa za Kiislam kwa maoni yangu ni the best practice of matrimonial life.
Hata ukienda mahakamani mashauri mengi ya talaka ni ya ndoa za Kikristo
Haya ndio matatuzo ya wanaume kuendekeza mbususu ova mama mzazi. Yaani mke anleta fyatu fyatu kuhusu mama huyo ni kupiga talaka asepe na mbususu yakeJeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.
Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.
Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.
Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.
Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Hatompenda au ndo habar Imeisha hapo?Yaan ni ukatili wa hali ya juu mama wa mume ni sawa na mama mzazi kabisa kaka ilitakiwa mke ajishushe tu ampotezee na amjali maana watu wakizeeka ni wasumbufu unamchukulia kama mtoto tu
Sasa hapo mume hatompenda tena
Kaharibu maisha yake kwa hasira
Umecheka post #1, wewe duh!!!!Nasubiri comment za wadada wa Jf
Mweee ngimba nkamu gwitu ngoghi, nga menye uneMkuu, siku hizi kumwacha mwanamke kwa njia hiyo ni ngumu sana.
Weka akilini, ukishaoa tu, vyote ulivyonavyo ni vyenu si
vyako.
Hivyo unapoamua kuachana naye wewe ndiye unayefungasha virago, si yeye!