Hakuna kitu watamfanya na hataenda... Sana Sana hao prosecutor wanaweza wakafa wao..Wale mliokuwa mnahoji kuhusu "doublestandard " za mahakama ya ICC nafikiri ni muda muafaka tufunge huu mjadala!
Hiyo kesi si lolote si chochote kwa Israel na hata hao Hamas ni katika tu hiyo mahakama kutimiza wajibu wao
Kamuulize yahya sinwar, raisi haniyahKwani Natenyahu au Gallant wanasema je?
Sasa anamuomba nani?Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, ametoa maombi ya kukamatwa kwa Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kiongozi wa Hamas katika Ukanda wa Gaza kwa uhalifu wa kivita.
Mwendesha mashtaka, Karim Khan KC alisema kuna sababu za msingi za kuamini kwamba Netanyahu na kiongozi wa Hamas, wamehusika katika uhalifu wa kivita na kukiuka haki za kibinadamu.
Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant na kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh, mkuu wake wa jeshi Mohammed Deif pia wamo kwenye maombi hayo.
Mbona Ismail Haniya anakula Bata huko Qatar mbona nae hakamatwi?
Kamuulize yahya sinwar, raisi haniyah
Sasa anamuomba nani?
Niliwapa hiyo kazi mossad wamuulze ibrahim raisi na yule mwenzake wa kola za mao.Kwani wewe umeshawauliza paka Nyau na mwezake tayari?
Hamna kitu hapo wameshindwa mkamata Mseveni wataweza NetanyahuMbona Ismail Haniya anakula Bata huko Qatar mbona nae hakamatwi?
Niliwapa hiyo kazi mossad wamuulze ibrahim raisi na yule mwenzake wa kola za mao.
Nyau wanamkuta vipi ,wasnze na hao October 7Kwani wakianza na Nyau Kuna ubaya?
Nyau wanamkuta vipi ,wasnze na hao October 7
Waanze na dikteta Putin. Netanyahu analinda nchi yake dhidi ya kitisho cha ugaidiKwani wakianza na Nyau Kuna ubaya?
Wewe kwa umri wako unaona huo ujinga unawezekana?Laughter,huh?ππππ
Waanze na dikteta Putin. Netanyahu analinda nchi yake dhidi ya kitisho cha ugaidi
Wewe kwa umri wako unaona huo ujinga unawezekana?Laughter,huh?ππππ
Kituo kifuatacho Yahya Sinwar1. Kumbe ulimpa kazi nani kumhusu General Ogolla, Kuwa ulimwuliza nani akamwulize?
2. Wacheni kujishasha na vifo vya watu kama vile nyie ni immortal, mbuzi m*me nyie.
Mzee wa quotations una vituko sana.What the hell can Belgique do to Israel,let alone Netanyahu himself?Israel si ni Europe ndugu? Si aende hapo makao makuu ya EU sasa, afanye kama kaenda kuwajulia hali? π€£
View attachment 2995939