Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nchi inautamaduni wake jamani mbona tunapinga kila kitu
Uk wanatumia billions kwa asjili tu ya ufalme ambao upo upo tu
all over the world kila nchi inatunu zake
Khaa wewe vipi?? Nani kakwambia mwenge ni biashara?? Hii ni siasa haulinganishi mapato na matumizihii nchi ya ajabu sana gharama zote za kazi gani sasa, unatumia mabilioni kuzindua miradi ya mamilioni halafu tunalalamika nchi haina fedha! hii ni sawa na kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku.
Nini kimejificha kwenye mbio za mwenge?Baada ya kusoma haya yaliyosemwa na Naibu waziri wa habari Juma Nkamia leo May 27 2014 bungeni, unalolote la kuchangia?
Mtazamo wako kwa ujumla uweke hapa.
Licha ya kutafuna pesa zetu kwa mgongo wa huu mwenge hivi serikali haifahamu kuwa hizi mbio za mwenge huchangia kwa asiliamia kubwa maambukizi ya UKIMWI????Vijijini ndio balaa yaani mwenge ukilala hapo kijijini basi inakuwa kama sodoma na gomora!!!Nachukia sana hizi mbio za mwenge na nadhani ni wakati muafaka watanzania tuanze kupiga kelele mbio za mwenge zikome, na hizo pesa zitumike kuboresha huduma za jamii. MIA
SAKila nchi inautamaduni wake jamani mbona tunapinga kila kitu
Uk wanatumia billions kwa asjili tu ya ufalme ambao upo upo tu
all over the world kila nchi inatunu zake
Baada ya kusoma haya yaliyosemwa na Naibu waziri wa habari Juma Nkamia leo May 27 2014 bungeni, unalolote la kuchangia?
Mtazamo wako kwa ujumla uweke hapa.
Kila nchi inautamaduni wake jamani mbona tunapinga kila kitu
Uk wanatumia billions kwa asjili tu ya ufalme ambao upo upo tu
all over the world kila nchi inatunu zake
Kila nchi inautamaduni wake jamani mbona tunapinga kila kitu
Uk wanatumia billions kwa asjili tu ya ufalme ambao upo upo tu
all over the world kila nchi inatunu zake
Nini kimejificha kwenye mbio za mwenge?
Unawachangisha masikini mabilioni halafu huku nyuma unapiga Bilioni 200 toka BOT kwa ajili ya manufaa ya wachache. Huu ni wenda wazimu mtupu.