Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Hii post Mwanakijiji leo hii ataikana, au kujutia kwanini aliitoa
kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii post Mwanakijiji leo hii ataikana, au kujutia kwanini aliitoa
I totally agree with you. Lakini Kama mwenge unaondoa chuki palipo na chuki na heshima palipo na dharau basi hakuna mahali pazuri pa kuweka huu mwenge zaidi ya lumumbaMwanakijiji,
Ningewaona watu wa CCM kuwa ni watu wa maana kama wangeahirisha kuuwasha mwenge mwaka huu mpaka hapo wangemalizana na ma-scandal yote yanayoumiza vichwa vya watu. Kuuwasha mwenge hakuna maana yoyote kwa sababu tumesha-prove kwamba other means za kuwamulika wahujumu uchumi ni more effective zaidi ya hili useless gimmick.
Let's be realistic; Pesa ya kugharamia mafuta ya mwenge ingeweza kutumika kujaza mafuta ya magari ya hospitali ili kuwapeleka waja wazito hospitalini. This is a waste of resources. Wake up - CCM people!!!
Leo kwa mara nyingine mbio za mwenge zimeanza tena Tanzania, na safari hii mwenge umewashwa huko Dole Zanzibar kuendeleza ile adhma ya taifa letu changa kuwa "sisi tumekwisha kuwasha mwenge na kuuweka Kilimanjaro". Mwenge huu ulipowashwa mara ya kwanza na kuwekwa kwenye kilele cha Kilimanjaro na Nyirenda, ulikuwa uwe ishara ya matumaini, upendo, na umoja wa Taifa letu.
Matukio ya hivi karibuni hasa baada ya muasisi wa mwenge huo kufa, kuna kila dalili kuwa tunachokimbiza sasa hivi ni kivuli tu cha mwenge ule kwani miale ile ya mwanzo ya mwenge wetu wa uhuru imeanza kuzimika na inaonekana ikififia kila mwaka mpya ujapo. Mwenge huu sasa umekuwa ni alama ya watu wachache kujiangazia wao na familia zao huku sisi wengine tukiendelea kubakia gizani. Hakuna kitu kinachoonesha kufifia kwa mwenge huo kama suala la mikataba ya nishati, madini, ununuzi wa rada, ndege ya rais, n.k Zaidi ya yote kwa wanafunzi waliokwama Ukraine, mwenge huu kwao tayari umezimika ( a little strech there, but why not try..??)
Je kuna matumaini ya kurejesha nuru yake tena? Je kuna haja ya kuuwasha tena ili uendelee "kuwamulika" wabadhirifu, wazembe maofisini, wala rushwa magendo n.k ? Au tuamue kuuzima tu, ili kila mtu ajiwashie mshumaa wake yeye mwenye na wale wenye uwezo wawashe vibatari, chemli, na taa za umeme! ?
huu mwenge kweli tunasababu ya kuendelea kuukimbiza?
Hii post Mwanakijiji leo hii ataikana, au kujutia kwanini aliitoa
Atakuja na thread ya kuusifia very soon
'tumbo' hili lina miujiza mikubwa
Hata kama bajeti yake ni TSH 100/= tunaomba kujua unafaida gani huo mwenge binafsiUnaweza kudhibisha hiyo bajeti ya bilioni 400 kuwa ni sahihi.!
Ni milioni au bilioni 400 ? Lile daraja la kigamboni (Nyerere Bridge) liligharimu bilioni 254!Habari wadau!
Leo Makamu wa rais Zanziber kazindua mbio za mwenge wa uhuru wakiwa na kauli mbiu ya maendeleo ya Viwanda.
Naomba anaye fahamu umuhimu wa kukimbiza mwenge na matumizi ya zaidi ya bilioni 400.
Nini faida yake?
Labda utalalamika wewehata ukizuiliwa bado watu mtalalama tu.
oooh kulikua kuna watu wamejiajiri kupitia mbio za mwenge. na mambo mengine kedekede
Waswahili sisi tuna jema.