Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Mwenge upo mkoa wa mwanza na Leo unaingia wilaya ya Ilemela
Hakuna huduma ya daladala kuanzia eneo la National kuelekea buswelu na maeneo ya jirani
Taabu yote hii ni kwa sababu ya mwenge
Wanafunzi na watu wengine wakiwemo wanaCCM wamejazana barabarani kusubiri mwenge
Wanafunzi hawasomi Leo kisa mwenge huu ni upuuzi kuvunja ratiba za maana kisa kusubiri moto tu
Nimepita karibu na shule flani wamejaa kina mama,migambo,police na wanafunzi ambao ndo mtaji wa CCM wanasubiri mwenge
Mwanajeshi anawaamrisha mgambo kwa matusi wakae vizuri wote katika gari nkaamini kweli kazi ya jeshi ni utumwa
Tangu nazaliwa hadi sasa sijui faida ya huu mwenge kwenye nchi hii anejua aniambie
Au ndo unatumika kupumbaza watu??
Hakuna huduma ya daladala kuanzia eneo la National kuelekea buswelu na maeneo ya jirani
Taabu yote hii ni kwa sababu ya mwenge
Wanafunzi na watu wengine wakiwemo wanaCCM wamejazana barabarani kusubiri mwenge
Wanafunzi hawasomi Leo kisa mwenge huu ni upuuzi kuvunja ratiba za maana kisa kusubiri moto tu
Nimepita karibu na shule flani wamejaa kina mama,migambo,police na wanafunzi ambao ndo mtaji wa CCM wanasubiri mwenge
Mwanajeshi anawaamrisha mgambo kwa matusi wakae vizuri wote katika gari nkaamini kweli kazi ya jeshi ni utumwa
Tangu nazaliwa hadi sasa sijui faida ya huu mwenge kwenye nchi hii anejua aniambie
Au ndo unatumika kupumbaza watu??