mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Umewamulikia wezi na mafisadi, wakati zamani ulikuwa unawamulika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja
Naunga mkono hoja
Mwenge wa uhuru umeleta changamoto kubwa,hususani kwa kuzindua miradi ya maendeleo yenye thamani ya mabilioni ya shiling
Wizi mtupu mwenge n kama kigodoro
Ukimwi
Ulevi na
Ubadhirifu WA kodi zetu fungia km vigodoro
Wizi mtupu mwenge n kama kigodoro
Ukimwi
Ulevi na
Ubadhirifu WA kodi zetu fungia km vigodoro
Mshahara Wangu unakatwa kodi bia inakatwa kodi na kila kitu hata nikinunua shati nakatwa kodi wasiwasi wako ni bure...nina mashaka kama hata kodi unalipa
Nawasi wasi na maswali yako!Kajiangalie kwenye kioo,sidhani kama kuna Mtz asiye jua umuhimu wa mwenge,,,,hao opposition kwani wapo