Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Faida za mwenge ni kwa wale waliopo kwenye mchakato ya kuzungusha wao na Familia zaouacheni mwenge wa uhuru uendelee kuliangaza taifa.
halafu hasara
bajeti yake yake ukitajiwa unaweza lia
unaambukiza ukimwi
unaleta watoto wa mitaani
ni uharibifu na ubadhirifu wa pesa zetu... maana bajeti ya kukuzungusha ni mamilion unakuta unaenda kafungua za tundu tatu za Choo cha shule fulani huko bagamoyo. mchheeewwww weka pale makuumbusho ya taifa period
Last edited: