mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 835
- 1,608
Ndugu zanga Nawasalimu katika jina la Bwana..
Leo napanda jukwaani nikiwa na maswali lukuki na matumai humu nitaweza pata majibu
Mh.RAISI JPM toka aingie madarakani amekuwa akibana matumizi na kufuta vitu vingi ambavyo vingetumia pesa za kodi za walala hoi kama SAFARI ZA NJE YA NCHI,SHEREHE ZA UHURU NA MUUNGANO na pesa hizo zilielejezwa katika miradi mingine
watanzania wengi tulikuwa tunasubiria kwa hamu sana Mh.JPM afute MBIO ZA MWENGE WA UHURU na fedha zake zielekezwe angalau kwenye MADAWATI
Nilikuwa namsikiliza mkuu wa mkoa wa Dar siku ana muapisha Mkuu wa wilaya ya kinondoni na pia mkuu huyo wa wilaya siku anahojiwa Clouds fm alikuwa anasema atajitahidi kukutana na watu nakuitisha harambee watu wachangie madawati
Hivi bajeti ya mwenge wa uhuru ingetengeneza madawati mangapi???
NAOMBA KUWAULIZA WAUNGWANA
Hivi siri ya mwenge wa uhuru ni ipi??na faida za mwenge wa uhuru ni ipi??na je Mwenge wa Uhuru usipokimbizwa Nchi itapata Hasara gani??
Maana naona kama huu nwenge umekuwa mfupa mgumu kwa MH.JPM ambae sio muoga na amefanya maamuzi mengi ya kijasiri kwanini kashindwa Mwenge??????????????
BY MKUMBWA JUNIOR
ARUSHA TZ
Leo napanda jukwaani nikiwa na maswali lukuki na matumai humu nitaweza pata majibu
Mh.RAISI JPM toka aingie madarakani amekuwa akibana matumizi na kufuta vitu vingi ambavyo vingetumia pesa za kodi za walala hoi kama SAFARI ZA NJE YA NCHI,SHEREHE ZA UHURU NA MUUNGANO na pesa hizo zilielejezwa katika miradi mingine
watanzania wengi tulikuwa tunasubiria kwa hamu sana Mh.JPM afute MBIO ZA MWENGE WA UHURU na fedha zake zielekezwe angalau kwenye MADAWATI
Nilikuwa namsikiliza mkuu wa mkoa wa Dar siku ana muapisha Mkuu wa wilaya ya kinondoni na pia mkuu huyo wa wilaya siku anahojiwa Clouds fm alikuwa anasema atajitahidi kukutana na watu nakuitisha harambee watu wachangie madawati
Hivi bajeti ya mwenge wa uhuru ingetengeneza madawati mangapi???
NAOMBA KUWAULIZA WAUNGWANA
Hivi siri ya mwenge wa uhuru ni ipi??na faida za mwenge wa uhuru ni ipi??na je Mwenge wa Uhuru usipokimbizwa Nchi itapata Hasara gani??
Maana naona kama huu nwenge umekuwa mfupa mgumu kwa MH.JPM ambae sio muoga na amefanya maamuzi mengi ya kijasiri kwanini kashindwa Mwenge??????????????
BY MKUMBWA JUNIOR
ARUSHA TZ