Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Umewahi ona mtu anamkosoa Mwakasege, Kimaro, au Kulola kwa level za huyo Mwamposa?

Ukiona tofauti ya mafundisho Yao ndio utaelewa shida inaanzia wapi
Mwakasege mbona wapo wengi wanompinga ikiwepo na walokole.

Kulola mwywe alikua anapigwa vita na waTAG wenzie, had akakimbia kuanzisha EAGT.


Point yangu n kuwa huwezi mpinga mtu kwa emotions zako, au based na dini yako,
Hata Yesu, mafarisayo walimuita muongo, mwenye pepo na mpotoshaji,
Sa we kumpinga Mwamposa kwa emotions sidhani kama ina matter.

Then bila shaka utakua na chuki binafsi na Mwamposa,

Ninamfatilia na huwa na msikiliza mwamposa sijanona utofauti wowote wa kimaandiko kwa Mwamposa.

Nasali EAGT na oftentimes huwa pastor anamuhubiri Mwamposa, Ila nilichogundua na kinachomsumbua n hofu ya kukosa majibu kwa changamoto za waumini, ili kuzuia kupoteza waumini huwa anashia kumpaka tope.
 
Unauhakika hakuwa na kazi hujuia alikua mwana wa selemara aliyefanya kazi ya uselemara..hujui wanafunzi wake walikua wavuvi wa samaki.?

#MaendeleoHayanaChama
Mzee joseph alifariki, mtaji wa kijiwe cha selemala ukafa,, akawa anamsaidia mama kuuza mvinyo kwenye masherehe,, akaona hailipi, akaondoka kwao nazareth kwani wanakijiji walimfukuza,, akawa mtu wa kutanga na njia kabla hajakutana na wale wavuvi kina petro,, wavuvi na yeye wakaunga mkono harakati zake za kuleta ukombozi wa watu dhidi ya ukoloni wa Roma empire,
Hawa wanaharakati walisaidiwa makazi na chakula, na madada wawili yatima wa bethania, akina martha na mary na kaka yao Lazaro🤷🏽‍♂️
 
mwamposa amejikita sana kufundisha imani na jinsi ya kuipractice. ukisikiliza mafundisho yake kwa lengo la kujifunza na kutaka kuelewa, utatoka na jambo jema. Wengi wanamsikiliza kwa sikio la kukosoa, kukebehi, kudharau, hata akifundisha kitu kizuri hutaelewa kwa sababu ushajiandaa kutokuelewa. Tafuta kitabu chake "nguvu ya kushinda kabla ya kushinda"
 
Tupe andiko japo moja tu ambapo Yesu Kristo ama mitume wake waliombea watu wapate utajiri wa dunia. Tuanzie hapo
Petro mvuvi aliamriwa na Yesu kutupa nyavu kilindini palepale ambapo usiku kucha hawakupata samaki. Kwa fundisho lake Yesu Petro alitii na walipata samaki tele wakajaa boti yao na waita na za majirani.
 
Petro mvuvi aliamriwa na Yesu kutupa nyavu kilindini palepale ambapo usiku kucha hawakupata samaki. Kwa fundisho lake Yesu Petro alitii na walipata samaki tele wakajaa boti yao na waita na za majirani.
Ungemalizia kabisa, alipouza samaki hao alipata milioni ngapi na aliwekeza wapi. Acha kupiga bla bla, toa kitu kamili
 
mwamposa amejikita sana kufundisha imani na jinsi ya kuipractice. ukisikiliza mafundisho yake kwa lengo la kujifunza na kutaka kuelewa, utatoka na jambo jema. Wengi wanamsikiliza kwa sikio la kukosoa, kukebehi, kudharau, hata akifundisha kitu kizuri hutaelewa kwa sababu ushajiandaa kutokuelewa. Tafuta kitabu chake "nguvu ya kushinda kabla ya kushinda"
Wabongo wanaamini sana uchawi na uganga, kila kitu kwao n uchawi usisumbuke mkuu
 
Uenda uko sahihi,lakini huwezi kufafanua vizuri,hebu jipange alafu tufafanulie vizuri,kidogo nijuavyo ni kuwa miujiza ya Mungu siyo ya kujirudia kwa njia moja kila siku(siyo ya kukariri),kwa hiyo hujui Mungu atatumia njia gani kumfungua mtu,siyo kila siku maji na mafuta no.
Watu ni wapumbavu sana kuhusu uwezo Wa Mungu.
Hiví Kuna MIUJIZA unaozidi sayansi.Lakini haitumiki kujisifia eti MIUJIZA ya Kutoa mapepo Kwa vitambaa. Aliyetengeneza Ndege inapata hewani ikiwa na abiria mia Tano na mizigo lakini hakuna MTU anayejisifu kuwa Njooni tuone MIUJIZA ya kuwapeleka watu kutoka bara moja mpaka lingine?
Ndege ni kitu kinachoonekana lakini waliopewa Maarifa ya kutengeneza wamepewa na Mungu kama wanaotengeneza MAFUTA ya Kutoa mapepo na kuleta bahati Kwa kuvuta majini.
MTU yeyote akitumia yale MAFUTA anapata kile anachokinuia mana ni mafutaa yanayotengenezwa na watu wenye Elimu ya majini na hulka zake.
Sasa wakiambiwa hawaelewi wanashupaza shingo ZAO walisema ni MIUJIZA ya Mwamposa. Yale MAFUTA Hata yeye anayanunua. Kabla Hata ya Ukristo yalikuwepo na yapo Hata Kwa jamii za kipagani HIVYO kuyaunganisha na Ukristo ni kukosa Maarifa tu na ujinga.

Ni Mbingu tu za Waganga Wa Kienyeji walioamua kuhamia Kwenye majengo wanayoyaita makanisa. Ni Sawa na Babu Wa Loliondo Enzi zake na Kikombe kimoja .

MTU anatumia kitambaa Kutoa majini lakini hawezi kutibu Malaria Kwa kitambaa.

Hawezi kumponya majeruhi aliyevunjika mguu Kwa kitambaa mpaka akafanyiwe operation na madaktari Wa mifupa.
Huyo mungu Wa vitambaa anachagua magunjwa au amezidiwa. Kitambaa kimetengenezwa na mchina halafu eti kina nguvu ya kutibu magonjwa lakini hakitibu Ebola au kipindupindu au hakiwezi kufumbua mvipofu macho Yao .

Ni Waganga Wa Kienyeji kama Waganga Wengine mana wale wakienyeji nao hutumia Jina la Mwenyezi MUNGU kutibu.

Wajapani wameendelea sana Lakini Hawana mambo ya kuuziana vitambaa vya upako.

Waafrika wanahitaji kufundishwa uaminifu ,uadilifu, Upendo,huruma, utu, Kutoa sadaka Kwa Ajili ya kusadia maskini na KUFANYA KAZI Kwa uaminifu na Kwa bidii. Hakuna MIUJIZA zaidi ya Hapo. Watu wanajamiiana hovyo,wanatupa takataka hovyo Hali inayosababisha magonjwa na mazalia ya Mbu na wadudu Wengine, wanatukanana na kuudhiana Kila mara, umaskini na stress za maisha, watu wanalogana na kutiliana fitina, watu Wana chukiana na kubaguana halafu wanadanganywa kuwa tiba ya matatizo Yao ni MAFUTA na vitambaa . Ujinga mtupu.
" Mwenyezi MUNGU alitangulia kusema "Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa".
Wanaangamizwa na Shetani na Mawakala wake Kwa sababu tu watu Hawana Maarifa juu ya maisha yanayowazunguka kiimani na kimaarifa. Maarifa SIO vitambaa Bali ni Namna ya KUFANYA Biashara ya vitambaa. YAANI MTU amebuni mradi Wa vitambaa na MAFUTA na amepata soko la uhakika.
 
Acha kudanganywa watu..roho anakusaidia kushinda dhambi ili kuokoa roho dhidi ya umauti wa milele wala sio njaa na magonjwa ya duniani.

#MaendeleoHayanaChama
YAANI roho Mtakatifu amuingie MTU halafu huyo MTU awe na magonjwa. ?
Maana ya upako ilitokana na upako Wa Roho Mtakatifu . Sasa hakuna Tena Roho Mtakatifu Bali upako Wa VITAMBAA na MAFUTA.
Vimapataje upako Bila Roho Mtakatifu. Hakuna upako Bila Roho Mtakatifu.


Inaonekana WEWE ni mganga Wa Kienyeji uchwara.
VITAMBAA vinatumiwa na Waganga kama wale Wanaofunga hirizi watoto. VITAMBAA ni aina ya hirizi kama hirizi nyingine.
Kama ukikutana na MTU aliyevalishwa hirizi na ikamsaidia naye atasema kuwa ametumia hirizi ya upako.

Shetani yupo KAZINI kulivuruga kanisa na kuwapoteza watu wasimwamini YESU Kristo. Waaminifu watu na vitambaa na MAFUTA yanayotengenezwa na wanadamu. Mchina anatengeneza kitambaa halafu kinageuka kuwa na nguvu kuliko binadamu na Mungu wake.
Ujinga uliobobea!
 
Mimi nilikua simkumbali lkn baada ya kumfuatilia nilimuelewa. Mungu amjalie mtumishi wake maisha marefu. Watu wengi wanataabika na giza lakini kwa kipawa alichopewa.

Kama unasikia kwa watu na maneno maneno jaribu mfatilie utamuelewa kuliko kusema sema ndo wale.
Someni Biblia Kila kitu akifanyacho ni nguvu za Mungu.
Aisee kuna vitu na mambo mengi ya kutenga muda kuyafuatilia. Muda ni wa thamani sana

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Kuvua samaki ilikua kazi ya Petro kabla hata hajamjua YESU, baada ya kumjua YESU kuvua samaki ikawa ni kama side hustle
Hoja imefungwa rasmi. Sipo hapa kupiga bla bla za ubishani usio mantiki. Mimi napenda tuseme iliyo kweli ya maandiko, usiniketishe barazani pa wenye mizaha
 
Mwakasege mbona wapo wengi wanompinga ikiwepo na walokole.

Kulola mwywe alikua anapigwa vita na waTAG wenzie, had akakimbia kuanzisha EAGT.


Point yangu n kuwa huwezi mpinga mtu kwa emotions zako, au based na dini yako,
Hata Yesu, mafarisayo walimuita muongo, mwenye pepo na mpotoshaji,
Sa we kumpinga Mwamposa kwa emotions sidhani kama ina matter.

Then bila shaka utakua na chuki binafsi na Mwamposa,

Ninamfatilia na huwa na msikiliza mwamposa sijanona utofauti wowote wa kimaandiko kwa Mwamposa.

Nasali EAGT na oftentimes huwa pastor anamuhubiri Mwamposa, Ila nilichogundua na kinachomsumbua n hofu ya kukosa majibu kwa changamoto za waumini, ili kuzuia kupoteza waumini huwa anashia kumpaka tope.
Well said ..watu watapinga tu siku zote..kama kristo alikataliwa iweje mwamposa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mzee joseph alifariki, mtaji wa kijiwe cha selemala ukafa,, akawa anamsaidia mama kuuza mvinyo kwenye masherehe,, akaona hailipi, akaondoka kwao nazareth kwani wanakijiji walimfukuza,, akawa mtu wa kutanga na njia kabla hajakutana na wale wavuvi kina petro,, wavuvi na yeye wakaunga mkono harakati zake za kuleta ukombozi wa watu dhidi ya ukoloni wa Roma empire,
Hawa wanaharakati walisaidiwa makazi na chakula, na madada wawili yatima wa bethania, akina martha na mary na kaka yao Lazaro[emoji2375]
Hayo mengine umebumba wewe..kuhusu ukombozi dhidi ya serikali ya roma mwanzo wengi walidhani vile..ila yeye mwenyewe alisema wazi amekuja kukomboa kondoo waliopotea wa nyumba ya Yuda..hakuja kupambana na serikali ya roma.

Ila kwakua ushawishi wake ulifanya wengi kuanza kumfuata hivyo wale viongozi wakuu wakawa na wasiwasi ndio kuanza kumpakazia kuwa yuko after kupindua serikali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom