MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
- Thread starter
- #61
Dah, na mimi nimejifunza.Mambo ya kupima kwa macho hatari, kuna pisi moja ilinipa UTI ni kali hadi machoni, lile lilikua fundisho kubwa kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, na mimi nimejifunza.Mambo ya kupima kwa macho hatari, kuna pisi moja ilinipa UTI ni kali hadi machoni, lile lilikua fundisho kubwa kwangu
Dah, kweli magonjwa yapoHao hawafai hawajijali hata kidogo kiufupi hawajielewi
Mwanaume anatoboaje na UTI/gonorrhea? Ngumu sana masaa tu 24 mkojo unatoka kwa maumivu mixer pus! Lazima utafute sindano ya ceftriaxone/powersef/Xone injection ukazie na cefixime 400mg na Azuma. Ila wanawake mmeweka maagano na hayo magonjwa mnakaa nayo miezi.Kwa hiyo wanaume huwa hamna UTI mnaambukizwa na wanawake tu
Dawa zote hizo za Nini,??Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Nitrofurantoin peka yake inatosha?Dawa zote hizo za Nini,??
Wakati Hiyo nitrof..... Inatosha kabisa kwa hilo tatizo....
Yeah, hapo alitakiwa akupe na flagily,,Nitrofurantoin peka yake inatosha?
Azuma ni 500mg kwa vidonge 3 hii Nitrofurantoin ni 100mg kwa vidonge 10Yeah, hapo alitakiwa akupe na flagily,,
Wengi wanaiamini azuma, lakini azuma ni dawa ambayo ipo kwenye kiwango cha Chini kwenye kutibu.
Ni hatari snaaHuko Dar naona Gono imetapakaa balaa. Muwe makini wababa na wakaka wazuri.
Hizo gram siyo tatizo, tunacho Angalia ni resistance..Azuma ni 500mg kwa vidonge 3 hii Nitrofurantoin ni 100mg kwa vidonge 10
na wewe ni malaya piaKweli mkuu, nilikutana na Malaya.
😂😂😂😂We kuambukizwa gono unaliiia mpaka majirani tumejua, watu wameshafowadiwa ukimwi na wametulia kimyaa
😂😂😂😂Dahna wewe ni malaya pia
Nahitaji nimpelekee na yeye, so nimchukuliea hiyo Nitrofurantoin na dawa gani nyingine?Hizo gram siyo tatizo, tunacho Angalia ni resistance..
Ferooz - stareheNyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.