Mwenzenu nimeyatimba

Mwenzenu nimeyatimba

Tusipime watu kwa macho wakuu, maradhi yapo tena ya kutosha.
Acha tu wanawake waendelee kutudharau
Yaani analalamika kwamba nyie wanawake hamjijali, ila hakutaka kujijali yeye kabla kutumia kinga na anajiona hana kosa.

Wale makaka zetu miaka ile unakua huwezi kusikia anaongea upumbavu kama huu. Ana kweli mitandao imekuja kipindi ambacho bado hatujajipanga.
 
Hilo ni gono mzee linatesa upumbavu wote pembeni 😁😁 inaonekana ulizembea Sana dalili hadi imeanza kutoa usaha
Nina siku ya nne tu Jana ndo nikaona kitu kinanatia kwenye boksa kucheki ni kama usaha ndo maumivu ya kukojoa yakaanza.
 
😂😂😂
Kuna watu wanajifanyaga watakatifu sana, kumbe waliyonayo au wayafanyayo sirini ni heri ya GONO..!!! Ukitaka kuamini hili, sikiliza simu za walokole ambao hawajui kama wanasikika na wengine..!! Utachoka..!! Ndo hawa akina Senior security, utakuta yeyey wala siyo mzinzi, ila WIZI sasa huko anakofanya kazi, hatari..!!
 
Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.

Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.

View attachment 2897819

Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Unafikiri huyo binti kapata hilo gono kwenye ugali? Kaambukizwa na mjinga mmoja kama wewe. Mkiambiwa uzinzi dhambi hamsikii. Sasa ukimaliza azuma uanze ARV za milele. Hongera kwa kupeleka moto
 
Back
Top Bottom