Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 936
Duh umenitisha..manake nakumbuka wakati Hayati kaenda Chato watu walisema kakimbia Corona..yeye alimfata hukohuko ili amuapishe.Seems alipita kwa Dr Mwandulami au alipokuwa Lumumba alikuwa ana ratibu zile shughuli za maji kwa akina Mangula.Akiwa pembeni ya mfumo atasema niguse ninuke haaaaaaa.Eee Mungu tusaidie