Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Seems alipita kwa Dr Mwandulami au alipokuwa Lumumba alikuwa ana ratibu zile shughuli za maji kwa akina Mangula.Akiwa pembeni ya mfumo atasema niguse ninuke haaaaaaa.Eee Mungu tusaidie
Duh umenitisha..manake nakumbuka wakati Hayati kaenda Chato watu walisema kakimbia Corona..yeye alimfata hukohuko ili amuapishe.
 
Nyie si mko wengi? Mkilipa wote itatosha kabisa kugharamia miradi yenu ya kimkakati.

Chadema watahamia Burundi ili mkae kwa amani.
Eeh nendeni maana mnachelewesha maendeleo kila kukicha
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

He is too stupid to be a minister, let alone to be an MP.
 
Mpumbavu hana adabu.
Tena ile lugha aliyotumia na kudai ile ni sheria hawezi kufanya chohote, sasa hizi nguvu za kusema wamesikia kazitoa wapi, na wakati anajua rate au kanuni za uendeshaji ni za waziri na sio Bunge.
 
Ni dharau iliyopitiliza. Mifano ya sasa ikitolewa inahusu Burundi. Kwa hiyo huko Burundi ndio hakuna tozo mbaya kama hizi. La kusikitisha wanataka tujifunze kuhusu kukabiliana na Covid 19 kwa kutumia mfano wa nchi hiyo. Hivi kweli kuna la kujifunza toka huko kuhusiana na gonjwa hilo?
 
Moja ya makosa makubwa sana ya mama SSH kufanya ktk baraza la mawaziri ni kumpa huyu mtu uwaziri. Lazima atamuangusha tu mama SSH, amejaa kiburi, dharau na kujisikia kupindukia na watu wa namna hii ni wanafiki mno.

Aliyemuweka pale si mjinga; anajua anavyofanya. Swali la msingi: ni nini hasa kinachotafutwa?
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

ACHA UMBEYA- WEKA LINK NZIMA
 
Kama mwigulu ni PhD wa uchumi na anajitapa tusimtilie mashaka basi hiyo wizara ni bora ateuliwe kibajaji au msukuma, hauwezekani Dr nzima wa uchumi pamoja team yake nzima ya wizara washindwe kujua double taxation ni illegal na ni uvunjaji wa sheria.
Hivi mkuu ebu niambie double taxation inakuja vipi hapa
 
Dah, haya maneno si dharau tu kwa wananchi bali hata rais wetu alizuru Burundi. Hivyo kauli hii Mwigulu anamaanisha rais wetu atokomeee uko huko Burundi kwa vile tu nae ameungana na wananchi kwa kusema tozo hizo ziangaliwe upya kwa maana ya kwamba hajakubaliana nazo pi.
 
Hivi mkuu ebu niambie double taxation inakuja vipi hapa
Viongozi msipende kutumia lugha za kijeuri jeuri pale wananchi wenu tunaposhindwa kuwaelewa na kuwahoji,njooni na majibu sahihi kwa wananchi pindi muulizwapo jambo!,uzuri tunaye mama.
 
Huyu ni shetani unakumbuka alivyomfanya Tundu Lissu mtu wa kwao mkoa mmoja Singida,je watu wengine atakuwa na huruma nao?
Anataka chuki ijae ndani mwetu kwa awamu hii, ili SSH aone kuwa awamu ijayo imemkalia vibaya na asichukue fomu ili yeye na timu yake wapata nafasi!! yupo kimkakati zaidi.
Fikra pana hii,Mama Samiah ametulia,halioni hili na litacost utawala wake.
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

Ni kwa sababu hatunaga uchaguzi, Hawana cha kuhofia
 
Atakuja kujua hajui huyu, subiri
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

 
Hakuna kitu kwa mwigulu yeye ana sacrifice maisha yake. Kwa ajili ya watz kuishi Burundi but the late President JPM alikuwa ana sacrifice maisha yake kwa ajili ya watz maskini

Ni vigumu sana kumtofautisha Mwigulu na Mwendazake. mwigulu ana character zote za Magufuli
 
Kauli za jeuri na dharau kwetu sisi walipa kodi hazina nafasi kwenye dunia ya sasa. Mwigulu anapaswa kuwajibishwa.

Sasa awaambie Rais na Waziri Mkuu wake na wao wahamie Burundi
 
Back
Top Bottom