Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Waziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.

Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074

wawafatilie na hawa pia.. tena haraka sana

 
Waziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.

Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074
Huyu Mwigulu ni waziri wa nn tena mpaka anaanza kufuatilia waharifu?
 
Huyu Mwigulu ni waziri wa nn tena mpaka anaanza kufuatilia waharifu?
Wahenga walisema: Kila kabila lina mwerevu wake na mpumbavu wake. Leo tunayaona mubashara. Singida ina Tundu wake na Madilu wake.
 
Anadhani bado yuko Mambo ya ndani?.
 
Wanafanya kazi, siyo kama yeye kwenda kujikalisha kwa wanaume wenzie

Wanafanya kazi ya kuuza sura labda. Wangekuwa wanafanya kazi wasingegeuka kuwa majizi ya kura.
 
Viongozi anamaanisha nini? Amaanisha Mbowe? Anamaanisha John mrema pia? Anamaanisha mbeba maono Tundu Lissu pia? Au anamaanisha wahuni ambao hata wakihojiwa zilipo trillioni 1.7 wanataka kuua watu?
Angeanza na gazeti la TANZANITE, limeripoti kuhusu vifo vya John Mrema na Freeman Aikale Mbowe, tena limetaja hadi sehemu walizo fia, Mbowe kafia Dubai na Mrema kafia S.A. Tusianze kuandikia mate wakati wino upo.
 
Duh,mi imegoma kabisaaaa
Mpk VPN,hata VPN wakati mwingine inagoma!
Km hizi siku 3 imegoma sijui nifanyeje jmn
Mwigulu anza na wale waliomzushia Mrema (Katibu Mwenezi wa CHADEMA) kifo huko South Africa. Viongozi wetu wakizushiwa vifo mnacheka. Wa kwenu akizushiwa mnakuwa mbogo. Watu wa ajabu sana nyie!
 
Kuruhusu baadhi ya watu ambao hawana mbele wala nyuma kuleta taharuki ni failure. Kwa nini msifanye kweli?

Twita na VPN zifungiwe daima. Maana huko wamejaa watu wasiofaa hata kiduchu.

Kama mnaona huruma basi washughulikiwe huko huko walipo. Hamjifunzi jinsi Urusi na China wanavyofanya juu ya watu kama hawa?
 
Waelekeze cha kuwafanya, ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…