Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Hapa Kazi tu,Zege Halilali au Zege Halilali,Hapa Kazi tu.
 
Wapi ndugu @ Minyoo [emoji2369][emoji2369][emoji3][emoji3]
 
Kwa kuanzia ni kuzishitaki bank husika kwa kutoa fedha zako bila idhini ya mteja baada ya hapo bank na TRA watajuana.


Ni sahihi kabisa mkuu kwani banki kisheria ndio iliyobeba dhamana ya kuhifadhi na kulinda fedha za wateja.
 
Mwee! Wewe si ulikuwa mstari wa mbele wa kwaya ya kusifu na kuabudu ya mtakatifu jiwe? By the way komredi jamaa yenu amepaga uongozi wa malaika au kura hazijatosha? Nasikia uchaguzi ulikuwa Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mmmmh, yamekuwa hayo tena? Wewe nyoko wewe si ulikuwa unashabikia upumbavu kila uchao? Leo umekuwaje tena? Unaona MATAGA msivyokuwa na akili?
 
Kiukweli hii meseji imeumiza wengi Sana[emoji26][emoji116]
"'… Please transfer the availabe balance of Account no..... to consolidated Account no... Maintained at the Bank of Taiwan (BOT) …"
 
Mwee! Wewe si ulikuwa mstari wa mbele wa kwaya ya kusifu na kuabudu ya mtakatifu jiwe? By the way komredi jamaa yenu amepaga uongozi wa malaika au kura hazijatosha? Nasikia uchaguzi ulikuwa Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuu,
kwa mujibu kwa mkurugenz wa uchaguzi.

Jamaa alikosea kujaza fomu[emoji28]
 
Mwee! Wewe si ulikuwa mstari wa mbele wa kwaya ya kusifu na kuabudu ya mtakatifu jiwe? By the way komredi jamaa yenu amepaga uongozi wa malaika au kura hazijatosha? Nasikia uchaguzi ulikuwa Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wagombea wengine ni saddam, gadafi, amin dada, hitler, nkuruzinza, mobutu, kabila, bokasa, abacha, mugabe
 
Hapana huu si wakati wa kudhoofisha kwa mawazo hasi.

Sidhani kama ndani ya kipindi hichi kutakuwa na yaliyotokea. Tunahitaji mzunguko wa fedha urudi.

Watu waziamini bank zao na fedha zao. Bank ziweze kutoa mikopo hata kwa watu wa chini.
Za kuambiwa changanya na zako. Kitu gani kina kupa uhuru wa ma bank kwamba hazito ingiliwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…