lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
'… Please transfer the availabe balance of Account no..... to consolidated Account no. Maintained at the Bank of Taiwan (BOT) …'
Wangeanza kwa kuwarudishia chao waliofanyiwa hivyo
Mungu anasema hamsamehi Dhulumati hadi asamehewe na aliowadhulumu…
Tumtakie kheri Mchapakazi na Mzalendi wetu huko alipo kwa kurudisha za waliochukuliwa kinyume na haki
Hata huyo juu naw Ni mmoja waoMmmmh, yamekuwa hayo tena? Wewe nyoko wewe si ulikuwa unashabikia upumbavu kila uchao? Leo umekuwaje tena? Unaona MATAGA msivyokuwa na akili?
Nawaomba vijana mkikutana na TAGA lolote likaanza kumponda marehemu mlishughulikie bila huruma!Hata huyo juu naw Ni mmoja wao
'… Please transfer the availabe balance of Account no..... to consolidated Account no. Maintained at the Bank of Taiwan (BOT) …'
Wangeanza kwa kuwarudishia chao waliofanyiwa hivyo
Mungu anasema hamsamehi Dhulumati hadi asamehewe na aliowadhulumu…
Tumtakie kheri Mchapakazi na Mzalendi wetu huko alipo kwa kurudisha za waliochukuliwa kinyume na haki
Hata huyo juu nae Ni mmoja waoMmmmh, yamekuwa hayo tena? Wewe nyoko wewe si ulikuwa unashabikia upumbavu kila uchao? Leo umekuwaje tena? Unaona MATAGA msivyokuwa na akili?
Nazenyewe zimeungana nasi kusema ASULUBIWEDigiteta is no more! MATAGA tayari yameanza kumzodoa marehemu!
Amekumbana na mkono wa Mungu, ptwaaaaa digiteta chaliii! Sasa hivi anapambana na giza totoro! Alivyotufanyia watumishi wa umma siyo sawa kabisa halafu kajinga kalikuwa na majibu ya hovyo sana!Mzee alikuwa sadist aisee jinsi mkilalamika kuumia ndo anazidi kukaza sijui alikuwa ana roho gani, dah Mimi niliacha kumfatilia mda mrefu Sana, utawala wake ulikuwa na machungu mno, lisipokukuta wewe Basi ndugu yako ana msala mzito, Mara watu wavunjiwe nyumba kah
Tutasikia maovu mengi yakifichuliwa na wenyeweTaarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba akiongoza kikao kazi cha kuchakata maagizo ya Rais Samia kwa Wizara hiyo.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
=============
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara wanaoficha fedha majumbani kuacha tabia hiyo kwa maelezo kuwa fedha zao haziwezi kuchukuliwa.
Dk Mwigulu ameeleza hayo leo Jumamosi Aprili 3, 2021 katika kikao na watendaji wa wizara hiyo na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) na Msajili wa Hazina (TR).
“Kwa wale wafanyabiashara walioona wakiweka fedha zao zitaonekana mtandaoni labda zitachukuliwa zote nitoe rai warudishe fedha kwenye mabenki zitaliwa mchwa au panya bila sababu, uchumi wa kisasa sio wa kuweka fedha kwenye boksi.”
“Kodi itatozwa tu kwa sehemu ya fedha inayotakiwa kukusanywa na sisi tujenge utaratibu wa kutii sheria kulipa kodi na kuwa wazalendo kwa nchi yetu.” Amesema Mwigulu.
😂😂😂🤣🤣🤣this world is not fair haki ya nani! Yaani waliokuwa wanaimba mapambio ndio sasa tunamponda pamoja? Digiteta asulubishwe!Hata huyo juu nae Ni mmoja wao
Nazenyewe zimeungana nasi kusema ASULUBIWE
Lakini tuliwaambiaga mapema kuwa,huko mbele tuyaongea lugha moja.😂😂😂🤣🤣🤣this world is not fair haki ya nani! Yaani waliokuwa wanaimba mapambio ndio sasa tunamponda pamoja? Digiteta asulubishwe!
Kweli MUNGU fundi.Hakuwa mtu yule
Mzee alikuwa hashikiki wala kushaurika aisee, na jinsi watanzania huwa ka makondoo tukamwachia Mungu atusaidie, na angekuwepo angejiongezea MDA ndo tungekoma hapo ka uchaguzi tu ulikuwa wa hovyo vile loh. Ila Mungu anatupenda watanzania wallahAmekumbana na mkono wa Mungu, ptwaaaaa digiteta chaliii! Sasa hivi anapambana na giza totoro! Alivyotufanyia watumishi wa umma siyo sawa kabisa halafu kajinga kalikuwa na majibu ya hovyo sana!
Tangu lini Waziri wa fedha alitokea mkoa wa singida? Huyu anatafuta kiki ya kugombea urais 2025.Mwigulu Nchemba huyu huy ndio kabadilika tena, si ndio alisema mazingira ya biasashara ni mazuri sana Tanzania? kwahio nini msimamo wa Mwigulu kwa sasa?
Nimeshangaa huyu Doto anafanya nini kwenye kibubu cha Nchi nae ni mwizi?ila dotto sina iman nae kabisa
Kama Watanzania tunajielewa huu ndio wakati mwafaka wa kumtukuza Mungu kwa haki na kweli! Mungu ametutendea makuu kwa kutuondolea zimwi!Mzee alikuwa hashikiki wala kushaurika aisee, na jinsi watanzania huwa ka makondoo tukamwachia Mungu atusaidie, na angekuwepo angejiongezea MDA ndo tungekoma hapo ka uchaguzi tu ulikuwa wa hovyo vile loh. Ila Mungu anatupenda watanzania wallah
Kale cha Uzi Ka aliendika hii message anyooshe mkono nimjibu hukukaona Mkuu?huyu ni waziri bogus na mnafiki. alikuwa wapi kusema haya kwa Dikteta. anashindwa hata kulinda heshima kidogo ya Dikteta
Kabisa mkuuSerikali inatakiwa ijiaminishe kwa wafanya biashara, kisheria kwa kutengua sheria kadhaa za kodi ambazo ni kandamiza. Ikiwemo hiyo ya kuwapa TRA nguvu za kufungia account kunatakiwa kuwa na procesure ya kimahana iliyo huru tena pasipo sheria ngumu
Tangu lini Waziri wa fedha alitokea mkoa wa singida? Huyu anatafuta kiki ya kugombea urais 2025.