Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Mmmmh, yamekuwa hayo tena? Wewe nyoko wewe si ulikuwa unashabikia upumbavu kila uchao? Leo umekuwaje tena? Unaona MATAGA msivyokuwa na akili?
Hata huyo juu naw Ni mmoja wao
 
Mmmmh, yamekuwa hayo tena? Wewe nyoko wewe si ulikuwa unashabikia upumbavu kila uchao? Leo umekuwaje tena? Unaona MATAGA msivyokuwa na akili?
Hata huyo juu nae Ni mmoja wao
Digiteta is no more! MATAGA tayari yameanza kumzodoa marehemu!
Nazenyewe zimeungana nasi kusema ASULUBIWE
 
Amekumbana na mkono wa Mungu, ptwaaaaa digiteta chaliii! Sasa hivi anapambana na giza totoro! Alivyotufanyia watumishi wa umma siyo sawa kabisa halafu kajinga kalikuwa na majibu ya hovyo sana!
 
Tutasikia maovu mengi yakifichuliwa na wenyewe
 
Makonda hawezi kurudi kwenye utawala WA mama. Kijana dhulmati hatari.
 
Amekumbana na mkono wa Mungu, ptwaaaaa digiteta chaliii! Sasa hivi anapambana na giza totoro! Alivyotufanyia watumishi wa umma siyo sawa kabisa halafu kajinga kalikuwa na majibu ya hovyo sana!
Mzee alikuwa hashikiki wala kushaurika aisee, na jinsi watanzania huwa ka makondoo tukamwachia Mungu atusaidie, na angekuwepo angejiongezea MDA ndo tungekoma hapo ka uchaguzi tu ulikuwa wa hovyo vile loh. Ila Mungu anatupenda watanzania wallah
 
Mzee alikuwa hashikiki wala kushaurika aisee, na jinsi watanzania huwa ka makondoo tukamwachia Mungu atusaidie, na angekuwepo angejiongezea MDA ndo tungekoma hapo ka uchaguzi tu ulikuwa wa hovyo vile loh. Ila Mungu anatupenda watanzania wallah
Kama Watanzania tunajielewa huu ndio wakati mwafaka wa kumtukuza Mungu kwa haki na kweli! Mungu ametutendea makuu kwa kutuondolea zimwi!
 
Serikali inatakiwa ijiaminishe kwa wafanya biashara, kisheria kwa kutengua sheria kadhaa za kodi ambazo ni kandamiza. Ikiwemo hiyo ya kuwapa TRA nguvu za kufungia account kunatakiwa kuwa na procesure ya kimahana iliyo huru tena pasipo sheria ngumu
Kabisa mkuu
 

Tuko tunamlilia digiteta! Njooni tuungane wandugu!
 
Mwigulu asiseme kwamba pesa kwenye ma bank hazitachukuliwa sababu hii itakua imekaa kisiasa zaidi ya kiutendaji..... Bali aseme ni pesa gani ambazo hazitachukuliwa ili kuwasaidia watanzania kuwa makini na pesa zinazopita kwenye mikono yao

Nchi hii inaendeshwa kwa sheria na taratibu, pesa kama zile bilion4 kasoro za TPA zitatafutwa popote zilipo na kurudishwa mikononi mwa serikali

Pesa kama zilizosemekana kukwapuliwa BOT kama ni kweli zitatafutwa kwenye accounts zozote na zitachukuliwa
 
Tangu lini Waziri wa fedha alitokea mkoa wa singida? Huyu anatafuta kiki ya kugombea urais 2025.

Kama anastshili na chama chake kikaridhia; na ni mpango wa Mungu atapata na sio vinginevyo

Mamlaka zote zapata kibali kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…