TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

We mbona kama unatufokea ingawa unaweza kuwa na hoja ,hebu kaangalie macho marehemu tena .
 
Kauwawa na Polisi kwa kushirikiana na TRA
 
Hapo vipi bado tu mnanibishia ...chadema watabishaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
you got thinking capability so low
 
Wewe ni mjinga kabisa. Kibao aliwauwa na serikali, Ben Saanane aliuawa na serikali tena kwa jambo dogo kabisa la kuhoji elimu ya Magufuli. Mdude alipigwa nusu ya kufa. Sativa alinusuruka kwa kudra. Narudia tena na tena. Wewe ni mpumbavu mkubwa. Subiri kuna siku litakupa wewe au ndugu yako.
 
Mjinga babayako matko ww
 
TUKIWAAMBIENI WANAWAKE KUWA VIONGOZI NI UPUMBAVU HUWA AMUELEWI ...IMEHALIBIKIWA JAMII ILE AMBAYO MAMBO YAKE YANA AMULIWA NA WANAWAKE ....NI MIPUMBAVU MITOTO ILE INAYOSEMA BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU 😁😁😁😁 .

Samia umejaa laana na abdul mzawa watumbo lako kalaaniwa tokea sasa vizazi vyote watakuita mlaaniwa.
 
Mbona kwenye habari wamesema wazi kwamba aliagiza vifaa vya ujenz wa nyumba yao ndio akapigiwa simu vimefika lakini wakala wa clearing anamujitaj aende bandarini vikakaguliwe kwa msingi kwamba TRA wanataka awepo ili kuepusha kama kuna uharibifu au upotevu..

Ndio kwenda na piki pik na kupotea mazima... Kaubukia mortuary ya Mwananyamala RH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…